Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Usiwashushe.Wazee wa “Laki Si Pesa” mmerudi[emoji16]
Wame graduate kwenda "Milioni si Pesa".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwashushe.Wazee wa “Laki Si Pesa” mmerudi[emoji16]
Ukiongea na bank yako unaweza kutoa hata 15m kwa siku. Ila utatoa kwa awamu.Ndugu zangu!
Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.
Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.
Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.
Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMS, na 'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA [emoji39]
Nasema uongo ndugu zangu?
Tigo Pesa 5mM-Pesa default limit yao kiasi gani?
5m kidogo ina shepu.Tigo Pesa 5m
Crdb sio local bank?wewe utakuwa local bank NMB. CRDB tunatoa zaidi ya 1.6m
Meka anaingiaje hapa!!?Meko ni shetani
3M MKUUM-Pesa default limit yao kiasi gani?
Usipende ligi na mimiCrdb sio local bank?
In jiwez voicePia umefika wakati wa kuanzishwa noti inayozidi tshs 10,000.
Mtu ukiruhusiwa kutoa pesa nyingi ATM utahangaika kurudia rudia kwa vile unatoa laki nne tu kwa mara moja - wakati noti mathalan ya tshs 50,000 ingekuwepo, mtu angeweza kutoa hata shs 2m mara moja bila kubadilisha mdomo wa ATM.
Raha nyingine ya noti kubwa ni kupunguza ukubwa wa mabulungutu ya kutembea nayo.
Ligi unapenda wewe, nimekuuliza crdb sio local bank?usipende ligi na mimi
Mpesa unaweka mpaka 10 million na unaweza kufanya malipo mpaka Million 3 au 5 kama sikosei. Issue ya ATM kutoa pesa nadhani 1 m sawa kwa security ila kama unafanya malipo kwa card unaweza kufanya mpaka 5 million kwa hiyo sioni sababu ya kutoa cash tuwekeze sana katika digital kama mobile money na App za banks siku hizi rahisi sana kufanya malipo njia ziko nyingi sana na safe.5m kidogo ina shepu.
Asante mkuu. Hata mimi naona.Mpesa unaweka mpaka 10 million na unaweza kufanya malipo mpaka Million 3 au 5 kama sikosei. Issue ya ATM kutoa pesa nadhani 1 m sawa kwa security ila kama unafanya malipo kwa card unaweza kufanya mpaka 5 million kwa hiyo sioni sababu ya kutoa cash tuwekeze sana katika digital kama mobile money na App za banks siku hizi rahisi sana kufanya malipo njia ziko nyingi sana na safe.
Kwani ukitoa ndani ndo huwezi kuuliwa kwa watumishi wa benki kuvujisha data?..ATM ipo ili kuwasaidia uharaka wa kupata pesa za matumizi ya chap chap. Ukihitaji zaidi ingia ndani. Mtoa uzi hufikirii jinsi watu watakavyoanza kuuwawa kwenye ATM kisa wametoa mil 3 au 5!!!. Fikiria zaidi!
Zaidi ya Milioni ndiyo, mwisho kiasi gani sasa?Sio benki zote mkuu acha kugeneralise mi nipo stanbinc tunatoa zaidi ya M 1
Uchumi je?Pia umefika wakati wa kuanzishwa noti inayozidi tshs 10,000.
Mtu ukiruhusiwa kutoa pesa nyingi ATM utahangaika kurudia rudia kwa vile unatoa laki nne tu kwa mara moja - wakati noti mathalan ya tshs 50,000 ingekuwepo, mtu angeweza kutoa hata shs 2m mara moja bila kubadilisha mdomo wa ATM.
Raha nyingine ya noti kubwa ni kupunguza ukubwa wa mabulungutu ya kutembea nayo.