Mstaarabu wa ukwee
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 209
- 137
NBC BANK unaotoa mpaka 1.5M na kuna baadhi ya akaunti unatoa hadi 3M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitaka kutoa nyingi ingia bank watakupa kiwango unacho kitaka, sasa kama mwizi kaiba kadi yangu ya ATM na kiwango kimewekwa 5 million. Unadhania hali itakuwaje ya alie ibiwa kadi ya atm yake?
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
ATM ipo ili kuwasaidia uharaka wa kupata pesa za matumizi ya chap chap. Ukihitaji zaidi ingia ndani. Mtoa uzi hufikirii jinsi watu watakavyoanza kuuwawa kwenye ATM kisa wametoa mil 3 au 5!!!. Fikiria zaidi!
na kuna account yao pia ya chapchap mwisho milioni tano ukizidiaha waniifunga mpaka ukajieleze na ubaidiliMwisho laki 8 kama NMB vile nk
Pia umefika wakati wa kuanzishwa noti inayozidi tshs 10,000.
Mtu ukiruhusiwa kutoa pesa nyingi ATM utahangaika kurudia rudia kwa vile unatoa laki nne tu kwa mara moja - wakati noti mathalan ya tshs 50,000 ingekuwepo, mtu angeweza kutoa hata shs 2m mara moja bila kubadilisha mdomo wa ATM.
Raha nyingine ya noti kubwa ni kupunguza ukubwa wa mabulungutu ya kutembea nayo.
Semenya bana. Yani mmatumbi akikamata chenji ni shida napiga picha tu wanaokuzunguka
View attachment 1836531
Usiweke mayai yote kwenye kapu mmoja. Weka benki tofauti uwe na options pana.Ndugu zangu!
Sijui vigezo walivyozingatia kwenye kuweka ukomo huo, lakini itoshe tu kusema zama zimebadilika sana.
Enzi hizo milioni iliitwa 'shitabalwa' [uncountable], na ilitosha kwa mambo mengi kwa walio wengi.
Tofauti kabisa na leo ambapo milioni MOJA unaweza kukaa kaunta tu ikayeyuka, pesa imezoeleka kwa wengi na imekuwa na matumizi mengi kirahisi.
Napendekeza angalau tuweze kutoa milioni TATU kwa siku kupitia ATMs, na 'mshindo' mmoja uweze kuvuta hadi MILIONI MOJA [emoji39]
Nasema uongo ndugu zangu?
Hujanielewa.We jamaa, hivi unadhani kuwa na noti yenye sifuri nyingi ndio kuwa na pesa nyingi?
Uchumi umefanyaje mkuu?Uchumi je?
Sijakuelewa mkuu!In jiwez voice
Mwisho laki 8 kama NMB vile nk
Hujanielewa.
Ukiwa na shilingi laki moja, badala ya kuwa na noti 10 za sh 10,000 kila moja - waweza kuwa la noti 2 tu za 50,000 kila moja. Uwingi wa fedha unabaki palepale.
Kuingia ndani ni kwa muda wa mchana tu, pesa hailali mkuu…. kuna dharula sio za kusubiri.
Fikiria hilo pia.
Kwani ukitoa ndani ndo huwezi kuuliwa kwa watumishi wa benki kuvujisha data?..
Kwanza kwenye ATM inaweza kuwa ni salama kama ipo eneo lililojificha au lililozibwa kidogo.