Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Kuwa kiongozi Jamhuri ya wadaganyika hata kichaa inawezekana tu ,Leo hii wote waimba mapambio sijui wataficha wapi sura zao au na wao watacheza kulingana na mdundo unavyopigwa ?

Cha kutuokoa kama nchi ni katiba mpya tu vinginevyo tutakuwa tunaendelea hatua tatu mbele halafu tunakuja rudi nyuma hatua hamsin
 
Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Ni afadhali useme ukweli. Hivi hawa maprofesa wanajisikia je?
 
Kwani kuna ubaya upi kutumia vitu hivyo! mbona sisi huku mtaani nilivitumia na akuna Mtu aliyeguswa na coronavirus,na mpaka Sasahivi akuna aliyepigwa chanjo na tunadunda kama kawa.Sio kila kitu anachofanya mzungu kinafaa asilimia zote,ndio Maana kwenye fom zao za chanjo walijiondoa pamoja na serikali ili likitokea jambo wasilaumiwe.
 
Kwenye negotiation yeyote demand zako lazima ziwe juu.Mjinga ni wewe.
 
Mkuu !!! kwann sikuhizi unapotea sana
 
Ndugu P anatakiwa kujua kuwa, kamwe waungwana wa kweli hawatakiwi kuogopa ukweli.
Ni aibu na dhambi kubwa kuogopa kuwaambia ukweli wasomi na wote waliyoshiriki kutoa uongo; uchafu kitaalamu. Tukifanya hivyo tunaliua taratibu taifa letu wenyewe sijui kwa faida ya nani.
Mungu alituachia tupitie haya ili tujifunze. AMEN
 

Sio professional rubish bali "professorial rubbish".
 
U
Ndio maana umesema ni wewe , kaa ukifahamu kuna watu walihitaji chanjo pia kwanini wanyimwe haki hiyo na kushurutishwa kunywa michanyato.
 
Yes tulisoma naye Ilboru ilikuwa ni bure hadi nauli iliyokuleta unawasilisha risiti kwa School Basa unarudishiwa fedha zako. Siku ya kufunga shule unapewa warrant una safiri bure.

Chuo Kikuu, pia kasomeshwa bure LL.B , UDSM
P
Kwa hiyo ukisomeshwa bure hutakiwi kuhoji chochote kile ambacho ni Cha hovyo kutoka serikalini?
 
Chadema tena? unakosea.

Ila naungana nawe unaposema hili jambo ni fumbo, wote wanaolipigia kelele hawana data za kutosha, haijulikani kama serikali ililipwa au haikulipwa, naona ni "hesabu zao za kawaida" na mapenzi kwa Lissu, ndio yametawala mjadala.
 

Hakuna anayejali yaliyoko nyuma ya kuibuka hilo suala sasa, lakini toka wakati lilipoibuka huko nyuma tulisema kuna uongo mwingi kwenye ripoti ile. Wafuasi wa CDM wako active, hivyo ni lazima wajadili jambo lolote kwa namna wanavyoona wao. Hao wafuasi wa vyama vingine wao wako wapi kujadili, au wao ni maiti hai hivyo hawajigusi kwa lolote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…