Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Utakunywaje chanjo ambayo hata walioitengeza hawana uhakika nayo, Magufuli alitaka chanjo yenye uhakika iliyodhibitishwa, Sio hii ambayo kila Mtu anaikana, chanjo ambayo ukitaka kuchanjwa mpaka ule kiapo,eti litakalo kupata wao hawausiki, wakati wametengeneza wao,uoni kuwa kuna jambo lililojificha hapo!.
Kumbe bado kuna watu mnaishi gizani eh?

Chanjo mnazotumia kutoka nje kama BCG ,Rotavirus ,DPT mmezithibitisha wapi?

Mbona ARV mnapokea kama mnasema wazungu wana mkakati w kuwaua?

Ukizingumza huyo dikteta kaa ukifahamu wimbi la kwanza la COVID alijichimbia kijijini siku karibia 50 hakuna mchangamano huku anawaambia mchape kazi.

Ukisema uthibitishwaji wa dawa kwani ile juice waliyoenda kuchukua kina Palamagamba ilithibitishwa wapi?

Wimbi la pili akaleta ubishi wake ule ule the rest is history.
 
Kwakuwa serikali ni watu na mi ni moja ya hao watu napenda kuchukua nafasi kukuomba samahani ndugu lisu. Tulikukosea sana
 
Kwaiyo tumeshitakiwa MIGA kama madai ya Lissu alivyokuwa akituogepesha kuwa watatunyoa kwa vipande vya chupa pasipo kutumia maji?kweli ujinga hautaisha nchi hii.
Utashitakiwaje wakati umeufyata mkia na kufuata masharti ya beberu? Ukifyata mkia juna kitu beberu anaita "let's solve it amicably". Ndicho kilichofanyika.
 
Kwa hiyo ukisomeshwa bure hutakiwi kuhoji chochote kile ambacho ni Cha hovyo kutoka serikalini?
Kuna muda hua najiuliza kwann mayala anavohoji watu katika kazi yake hukunja Sana ndita .....

Anatumia mbinu zakimasai zamani Masai akipeleke mtoto shule akija Rudi tu na akaaza kushauri maswala ya kuacha ufugaji holela hata elimu ya kuhusu baadhi ya Mila na desturi nikosakubwa Sana hivyo lazima auawe ...wataandaa kikao Chao laiboni harafu wanaitisha mkutano unatiwa mshale....Mila hizi pia ccm wamekopi

Ona kijana wao mayala anasema mtu ukisomeshwa hutakiwi Tena Kuhoji au kudadisi Mambo maswala kisa bure elimu

Hakuna haha ya kutuletea sababu zilizopelekea asome Sheria akilalama kuhusu alivotendewa baba yake
 
Kumbe bado kuna watu mnaishi gizani eh?

Chanjo mnazotumia kutoka nje kama BCG ,Rotavirus ,DPT mmezithibitisha wapi?

Mbona ARV mnapokea kama mnasema wazungu wana mkakati w kuwaua?

Ukizingumza huyo dikteta kaa ukifahamu wimbi la kwanza la COVID alijichimbia kijijini siku karibia 50 hakuna mchangamano huku anawaambia mchape kazi.

Ukisema uthibitishwaji wa dawa kwani ile juice waliyoenda kuchukua kina Palamagamba ilithibitishwa wapi?

Wimbi la pili akaleta ubishi wake ule ule the rest is history.
Hizo chanjo utazozitaja hakuna unapokula kiapo kwamba litakalo kupata wao hawausiki wakati wametengeneza hizo dawa wamezitengeneza wao,ninakaribia miaka 50 nimechanjwa chanjo zote sijiwai ona ukijakuchanjwa mpaka ule kiapo kwamba Serikali wala mtengenezaji hawatausika na chochote kitakachotokea baada ya kudungwa chanjo.Hizo dawa za Madagascar hatukuona zikigawiwa popote pale labda kama unaoushaidi wa hizo dawa kugaiwiwa kwa wananchi waweza kuweka.
 
Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Babaa ako akiongea pumba utamkosoa kwa maneno makali? Heshima ni bure tukosoane kwa staha, ukikosoa kwa staha hupungukiwi na kitu.
 
Utashitakiwaje wakati umeufyata mkia na kufuata masharti ya beberu? Ukifyata mkia juna kitu beberu anaita "let's solve it amicably". Ndicho kilichofanyika.
Serikali iliufyata wapi,! wakati Accacia yenu mliokuwa mnatutishia nayo kwamba itatupeleka MIGA ilifutiliwa mbali,tukaa mezani upya.
 
Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Babaa ako akiongea pumba utamkosoa kwa maneno makali? Heshima ni bure tukosoane kwa staha, ukikosoa kwa staha hupungukiwi na kitu
 
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Pascal Mayalla hii tabia unayoonesha ni kawaida ya wanadamu, kutotaka kuambiwa ukweli...

Wakiambiwa ukweli wa matendo yao mabaya, wanasema wametukanwa, wamekashifiwa, au kwanini sasa atumie lugha ya kukera na utetezi mwingine wa kijinga ufananao na huo...

Neno "rubbish" wala siyo tusi. Ni neno la kawaida lenye maana "isiyofaa kwa lolote". Lakini Tundu Lissu akaweka kitanguliza neno "proffesorial" kwa sababu, "ni kitu kisichofaa kilichofanywa na wanataaluma wanaojiita maprofesa". Tusi liko wapi hapo?

Ofcoz, lugha iliyotumiwa ni kali na ya kukera kwa watendao uovu. Kwa hiyo ni lazima mkereke kwa sababu ndiyo matendo yenu na yakijulikana na raia, mnaona kama mmetukanwa...

Hakuna kiongozi aliyewahi kuwa na lugha kali na ya kukera ya kukosoa kwa wakosaji kama hayati Mwl. Julius K. Nyerere. Tundu Lissu ni cha mtoto...
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Wewe mpuuzi, hizo billion 700 zingetoka wapi? Wakati mwingine ficha ujinga wako
 
Kwahiyo tunasubiria kushitakiwa MIGA?
KWAHIYO LISU NI MSALITI WA TAIFA NDIO AKAPIGWA?
 
Kila kitu kilifanywa kwa usiri mkubwa, halafu Magufuli akawa anawahadaa wetu kwa kuwaita viongozi wa dini , sijui makundi mbalimbali kwenye hizo hafla za utapeli wake. Cha kushangaza watu walikuwaje wajinga kiasi kile cha kuamini maigizo yale.

Halafu bunge lilikuwa halishirikishwi kabisa kwenye mambo yale, kisa Magufuli alikuwa hataki yajadiliwe bungeni maana wabunge wa upinzani wataweka wazi mambo hayo. Mambo haya ndio yalipelekea Magufuli anajisi chaguzi za nchi hii na kujaza wanaccm aliowataka yeye ili kusitokee yoyote wa kuhoji. Jambo hili ndio lilipelekea Lisu kupigwa risasi.
Kwahiyo hata aslimia kumi na sita kampuni ya twiga tumedanganywa?
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Imeichukua serikali miaka mitano 5yrs kukubaliana na ushauri wa Lissu.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Na akili zako timamu unamsikiliza huyo bwana Tozo...
 
Mimi bado naamini ripoti za Wataalam akina prof Muruma ilikuwa sahihi.

Kosa lilikuwa kwenye aapproach ya kuzidai
Kuamini na kujua ni vitu viwili tofauti. Unaweza kuamini chochote. Unaweza kuamini kuwa Tanzania ipo mwezini, ni imani yako.

Lakini ukweli itabakia pale pale kuwa report ya Mruma ilikuwa ya uwongo mtupu. Maana haiingii akilini kodi ya kampuni moja izidi thamani ya dhahabu ya migodi yote ya dhahabu ya Tanzania. Kukubali hilo, siyo tu inahitajika uwe mjinga hasa, bali inatakiwa ukose akili kabisa.

Lakini kwa Tanzania siyo ajabu sana. Rais Mwinyi wakati anagombea Urais, kule Kigoma alipata kura nyingi za ndiyo kuzidi idadi ya wapiga kura wote wa mkoa wa Kigoma. Huenda na marehemu walifufuka, wakaja wakapiga kura, halafu wakafariki tena mara baada ya kupiga kura.
 
Babaa ako akiongea pumba utamkosoa kwa maneno makali? Heshima ni bure tukosoane kwa staha, ukikosoa kwa staha hupungukiwi na kitu
Baba yangu anabaki kuwa baba yangu hafananishwi na fisadi au chawa yeyote.
Funga mkanda vizuri boksa chafu hiyo.
 
Hizo chanjo utazozitaja hakuna unapokula kiapo kwamba litakalo kupata wao hawausiki wakati wametengeneza hizo dawa wamezitengeneza wao,ninakaribia miaka 50 nimechanjwa chanjo zote sijiwai ona ukijakuchanjwa mpaka ule kiapo kwamba Serikali wala mtengenezaji hawatausika na chochote kitakachotokea baada ya kudungwa chanjo.Hizo dawa za Madagascar hatukuona zikigawiwa popote pale labda kama unaoushaidi wa hizo dawa kugaiwiwa kwa wananchi waweza kuweka.
Nikuulize swali kwani watu wakiwa wanakwenda kufanyiwa operation let's say Cesarean section huwa hawasaini.?

Ulishawahi kujiuliza dhumuni kuu la kusaini?
 
Back
Top Bottom