Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

Mkuu elewa! Sio chanika mwisho sehemu inayoitwa bodaboda!

Nimemaanisha ukifika chanika mwisho wafate wale wakaka wanaoendesha bodaboda uwaulizee
Yes nimekuelewa Nina enda sana Chanika Nimejenga huko Nina namba za boda boda wa chanika ambazo nimezisave kwa jina: Bodaboda chanika . That's why I was saying am in my phone searching 4 bodaboda chanika.
 
Yes najua na Mimi nitawatafuta baada ya ramadhani ila sitaki mishangazi ya 2004 nataka watoto wa 2006
Kaka huu mji ni wamoto. Jana nipo zangu Mnazi Mmoja nikawaona wamama wengi wa kila Rika (kiujumla huwa nawakuta) wamekaa nje fremu zisizofunguliwa, ikabidi nimuulize mwenyeji wangu kuhusu Ile hali, nikajibiwa kuwa wana Biashara zao 1. Ombaomba 2. Ukahaba.

Hilo la ombaomba nimejiridhisha ni kweli kwaio nataka nikajiridhishe kwenye UKAHABA wao.

NB. Wamevaa vyema haswa, wamejistiri na miongoni mwao ni wazuri unaweza kujiuliza walichokosa na usipate jibu.
 
Kuwapa mtaa au eneo maalumu haitobadirisha uhalisia kwamba maadili yamevurugika kwa asilimia kubwa sana.
Na kama wanainchi, kama wazazi au wazazi watarajiwa hii tabia inabidi ipigwe marufku kbs.

Wakikamatwa wanajiuza wachukuliwe hatua kali sana ili kunusuru jamii yetu na taifa letu kwa ujumla
 
Yes nimekuelewa Nina enda sana Chanika Nimejenga huko Nina namba za boda boda wa chanika ambazo nimezisave kwa jina: Bodaboda chanika . That's why I was saying am in my phone searching 4 bodaboda chanika.
Ukipata chimbo nishtue nikafanye tour kma Vasco da gama
 
M

Maeneo ambayo ni makazi ya watu na hakuna kumbi za starehe
Mkuu, Kwani wao sio watu? 😳 Kula tunda sio lazima kuwe na kumbi za starehe. Mwenye kumiliki kumbi za starehe yupo na biashara yake binafsi na mdada yupo na biashara yake binafsi (Tofauti) na hawaingiliani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…