Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
- Thread starter
-
- #41
Mwalimu aliukengeuka Mkataba wa Muungano uliowekwa Enzi hizohizo na nyakati hizohizo.Unaona falsafa za Mwalimu JK haziishi kwa sababu unazitazama kwa mtazamo wa 2024, ikifika 2060 watakaokuwepo wataziona hizi falsafa za sasa zimepitwa na wakati.
Nyerere alileta muungano kipindi cha vita baridi. So, he was right by then. Lakini kwa sasa kile kilichoonekana sahihi sasa hakina umuhimu uleule. Tatizo waliomrithi wamefanya fikra zake kama andiko takatifu. Muungano lazima uhojiwe sasa.Nyerere ni binaadamu kila mwana Adam ana makosa yake sasa imekuwa vibaya Nyerere kukosolewa makosa yake?.
Huwezi kubadili falsafa kwa matatizo ya muda mfupi ya kiuongozi. Hujui haswa ni kwanini hizo falsafa zilitoka kichwani kwa Nyerere kwa wakati huo.Kwamba tunamchukia Muasisi au Tunachukia Wazenji?
Una ushahidi gani kwamba alikengeuka?, unaijua sababu haswa ya Tanzania kuungana na Zanzibar mwaka ule wa 1964 na sio 1970 au 1971?.Mwalimu aliukengeuka Mkataba wa Muungano uliowekwa Enzi hizohizo na nyakati hizohizo.
Why aliukengeuka?
Huu Muundo wa Muungano unamaanisha ulikuwa sahihi kwa enzi hizo au walidanganya watu waliokubaliana nao uwe sahihi?
Nadhani uwezo wako wa kufikiri hauna tofauti na kuku
Umejaa ujinga,
But wengi wanaomchukia Nyerere ni walee wafuasi wa....
Anzisha thread inayomuhusu Samia bro!!Zanzibar ni sawa na kinondoni kwa idadi ya watu, ni sehemu ndogo sana ya JMT, hizi nongwa zinamlenga Samia na urais wake na waanzilishi ni hao hao wanasiasa tutakaoyaona majina yao wakati wa kampeni mwakani wakiutaka urais.
Una soft copy yake hicho kitabu cha The dark side.....?View attachment 2988212
Enzi za ‘zidumu fikra za mwenyekiti ‘ hazipo tena. Tunapaswa kuacha kuvhukua Nukuu zake ili zitumike kama reference huko Bungeni.
Socialism, Poor Education, Setup mbovu ya muungano, lack of transparency, lack freedom of speech nk ni katika failures kubwa sana chini ya uongozi wake.
Kuna masuala mengi sana yanaonesha huyu mzee wtu hakuwa anafanya mambo kwa maslahi na ustawi wa taifa bali ni aidha kwa maelekezo, ubinafsi, hofu ama ajenda anazozijua mwenyewe.
View attachment 2988271
Suala la Muungano linamuweka sana uchi mzee wetu huyu na ndo kama legacy aliyotuachia basi warithi wake wote hawataki kugusa wala kubadili utafikiri ndo kiapo chao.
Julius ametuachia huu mgogoro mkubwa sana na hajawahi kuutolea ufafanuzi wa kitaalamu na kisheria zaid ya kutumia nguvu.
View attachment 2988353
Kwa waliosoma kitabu cha “The dark side of Nyerere’s legacy” by Ludovick Simon Mwijage mtakubaliana nami kuwa sasa Ni wakat wa kuanza kujadili mienendo na maamuzi ya mwalimu na kuondoa dhana ya utakatifu wa bila kuhoji.
Ni wakati wa kubadili FALSAFA NA MITAZAMO YA MWALIMU
Sina mkuuUna soft copy yake hicho kitabu cha The dark side.....?
#YNWA
Ushahidi ni Kitabu cha ‘The Partner-ship’ cha Aboud Jumbe.Una ushahidi gani kwamba alikengeuka?, unaijua sababu haswa ya Tanzania kuungana na Zanzibar mwaka ule wa 1964 na sio 1970 au 1971?.
Matatizo ni ya Muda mrefu, Tangu miaka ya 80Huwezi kubadili falsafa kwa matatizo ya muda mfupi ya kiuongozi. Hujui haswa ni kwanini hizo falsafa zilitoka kichwani kwa Nyerere kwa wakati huo.
bado tunayo mazwazwa mpaka Leo!Nyerere aliongoza Tanzania ikiwa na watu chini ya milioni tano ikiwa na chuo kikuu kimoja tu pale Mlimani, ikiwa na rundo la wajinga kila sehemu.
Falsafa zake zilikuwa na mashiko enzi zile kwa mazingira ya wakati ule. Haipo mantiki yoyote ya kuhoji falsafa za wakati ule katika miaka ya sasa.
Huenda itabidi nitafute muda nikusome kwa lazima tu, maana ni siku kadhaa naona hiki kichwa cha mada yako kikiendelea kuwepo hapa.View attachment 2988212
Enzi za ‘zidumu fikra za mwenyekiti ‘ hazipo tena. Tunapaswa kuacha kuvhukua Nukuu zake ili zitumike kama reference huko Bungeni.
Socialism, Poor Education, Setup mbovu ya muungano, lack of transparency, lack freedom of speech nk ni katika failures kubwa sana chini ya uongozi wake.
Kuna masuala mengi sana yanaonesha huyu mzee wtu hakuwa anafanya mambo kwa maslahi na ustawi wa taifa bali ni aidha kwa maelekezo, ubinafsi, hofu ama ajenda anazozijua mwenyewe.
View attachment 2988271
Suala la Muungano linamuweka sana uchi mzee wetu huyu na ndo kama legacy aliyotuachia basi warithi wake wote hawataki kugusa wala kubadili utafikiri ndo kiapo chao.
Julius ametuachia huu mgogoro mkubwa sana na hajawahi kuutolea ufafanuzi wa kitaalamu na kisheria zaid ya kutumia nguvu.
View attachment 2988353
Kwa waliosoma kitabu cha “The dark side of Nyerere’s legacy” by Ludovick Simon Mwijage mtakubaliana nami kuwa sasa Ni wakat wa kuanza kujadili mienendo na maamuzi ya mwalimu na kuondoa dhana ya utakatifu wa bila kuhoji.
Ni wakati wa kubadili FALSAFA NA MITAZAMO YA MWALIMU
Are you for real!Hii ni hakika..
Kuna misingi ya miungu ya uongo na ushetani wenyewe umejengwa ktk nchi yetu.
Hii madhabahu (altar) ya miungu na ushetani huu uko kwenye ikulu yetu kwenye "kiti cha u - Rais"..
Thank God, kwamba sasa watu tunaanza kuuona ukweli huu kwa njia dhahiri kabisa..
Na vijana wa kizazi hiki hatuko tayari kuona hii kitu inaendelea..
Tuko tayari kubomoa misingi (madhabahu) za kishetani zilizojengwa ktk nchi yetu kwa kutumia silaha za masafa marefu toka mbinguni ktk ulimwengu wa roho..
Leo nimekusoma na kukuelewa vizuri.Bandari zimeuzwa.
Sasa tusubiri awamu nyingine airport zote ziuzwe.
Watu wa ovyo hawa wanadhani
utajiri wa nchi ni mali ya watu kumi.
Nyerere alifariki miaka 25 iliyopita, kuendelea kuongelea falsafa zake leo hii ni ukosefu mkubwa wa mawazo mapya, mawazo mbadala.Matatizo ni ya Muda mrefu, Tangu miaka ya 80
Muungano una miaka 60 sasa nina uhakika mimi na wewe tumeukuta na tutaondoka tukiuacha.Ushahidi ni Kitabu cha ‘The Partner-ship’ cha Aboud Jumbe.
Kina nyaraka zote hizo huko mwisho