Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Ni wakati wa kuondokana na John Mrema hapa CHADEMA

Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Ndio uwezo wa wachaga
 
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Halafu hana kipaji cha kuongea. Hana ushawishi na sauti yake haina mamlaka. No offensive, lakini ukweli ni kuwa msemaji wa organisation hasa chama cha kisiasa kunahitaji kipaji na utaalam ambao sio kila mtu anao. Hata mimi sina.
 
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
wewe binafsi upo chadema ipi gentleman?

Chadema ya Lisu ambayo makao makuu yake ni Singida,
au Chadema ya Lema na Kigaila ambayo makao makuu yake ni Arusha, hata upate nguvu za kuiozodo chadema ya mwenyekiti na huyo Mrema ambayo makao makuu ya ni Dar es Salaam?

au wewe upo upande wa chadema ya Heche na Wenje ambayo makao makuu yake ni Tarime na Rorya? :pulpTRAVOLTA:
 
Punguza ujinga. Kama huna la kuongea usipende mazoea. Stupid idiot.
Hawa ndio makamanda, ambaye anashabikia hata asichokijuwa, nimekuuliza Mrema ana cheo gani Chadema?

Huwezi kunitowa kwenye reli, najuwa matusi kuliko wewe ila nitamalizana na mama yako chumbani.
 
Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.

Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.

Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Tatizo la Chadema ni zaidi ya mwenezi.

zitto junior
 
Halafu hana kipaji cha kuongea. Hana ushawishi na sauti yake haina mamlaka. No offensive, lakini ukweli ni kuwa msemaji wa organisation hasa chama cha kisiasa kunahitaji kipaji na utaalam ambao sio kila mtu anao. Hata mimi sina.

Asante Mkuu. Umegonga kwenye point kwenyewe. Tunahitaji mtu mwenye sifa hizo ulizotaja.
 
wewe binafsi upo chadema ipi gentleman?

Chadema ya Lisu ambayo makao makuu yake ni Singida,
au Chadema ya Lema na Kigaila ambayo makao makuu yake ni Arusha, hata upate nguvu za kuiozodo chadema ya mwenyekiti na huyo Mrema ambayo makao makuu ya ni Dar es Salaam?

au wewe upo upande wa chadema ya Heche na Wenje ambayo makao makuu yake ni Tarime na Rorya? :pulpTRAVOLTA:

Nipo CHADEMA. Hayo mengine ni ya kwako.
 
Hawa ndio makamanda, ambaye anashabikia hata asichokijuwa, nimekuuliza Mrema ana cheo gani Chadema?

Huwezi kunitowa kwenye reli, najuwa matusi kuliko wewe ila nitamalizana na mama yako chumbani.

Nimekupa unachostahili. Mpumbavu unamjibu Kama mpumbavu, na mwenye akili unamjibu Kama mwenye akili. Sina muda na mpumbavu Kama wewe. Husomi thread unarukia maswali ya kijinga. Unaniona nimemjibu Erythrocyte bado unaleta maswali ya kipumbavi. Narudia Tena wewe ni mpumbavu anayejifanya much know.
 
Nimekupa unachostahili. Mpumbavu unamjibu Kama mpumbavu, na mwenye akili unamjibu Kama mwenye akili. Sina muda na mpumbavu Kama wewe. Husomi thread unarukia maswali ya kijinga. Unaniona nimemjibu Erythrocyte bado unaleta maswali ya kipumbavi. Narudia Tena wewe ni mpumbavu anayejifanya much know.
Mpumbavu ni Baba yako kwa kuniachia nimsiguwe mama yako.
 
Back
Top Bottom