Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Kunajambo unatakiwa kulielewa tume ya Taifa ya uchaguzi itakuwa na kazi ngumu sana kabla na baada ya uchaguzi,badala ya kushirikia na ccm kupanga matokeo kukata majina ya wagombea hizi mambo zitabiki historiaKwanza tujiulize, hiyo ultimatum itatolewa na wananchi gani? kumbuka wakati uchaguzi mkuu ukikaribia kuna vile vyama rafiki vya CCM vitaungana nao kushiriki uchaguzi, hivi kwa namna fulani vitasababisha kuhalalisha madai kwamba uchaguzi ulikuwa huru na haki kwa hii Katiba mbovu iliyopo.
Sasa unapozungumzia pawepo ultimatum, vyema tujiulize, hii ultimatum itaanzia wapi na kuishia wapi? ni wakina nani watakaokuwa wahusika wake? vipi kwa wale wengine ambao hawatataka kuhusishwa, wasipofanya hivyo wataonekana wabaya kwa lipi, kama wameamua kufanya hivyo kwa hiyari yao?
Utekelezaji wa hii ultimatum kwa mtazamo wangu, naona nao utakuwa mgumu kama ambavyo tunahangaika sasa hivi na hii michakato ya kuipata Katiba Mpya isiyokwisha, wala kujua Katiba Mpya yenyewe itakayopatikana itakuwa ya sampuli gani, naona kila tunapogusa bado safari yetu ni ndefu sana inayoendelea kuwanufaisha CCM.
baada ya katiba mpya tume itakuwa na kibarua kizito mno
Nfano hapo jimboni kwenu Kuna idadi ya watu 100 ili mshindi apatikane inatakiwa mshindi atape asilimia fula ya kura zote kulingana na idadi ya watu wanaishi hapo kinyume na hapo tume itashindwa kutangaza mshindi itabidi watembee nyumba hadi nyumba kushawishi watu waende kupiga kura ili apatikane mshindi tofauti na sasa jimbo lina watu 100 wamejiandikisha watu 50 waliopiga kura watu 30 Batili kura 10 mshindi anapatika kwa jumla ya kura 20 kwa katiba mpya hakuna mshindi.
Kuhusu vyama pandikizi automatically vitakimbia uwanja wa vita.