Ni wakati wa Rais Samia kuchukua likizo ya Mapumziko

Ni wakati wa Rais Samia kuchukua likizo ya Mapumziko

Ndio maana akina Makamba wanajipigia tu, Mama kila siku mialiko na haachi mwaliko hata mmoja.
Bora Makamba,kuliko dikteta aliongoza kikundi Cha majambazi kina Saa mbaya na bashite
 
Kuna wakati ninamuonea huruma sana chifu wetu mkuu wa machifu wote Tanzania ,Mh.Rais SSH kwa kutomsikia akipumzika vyema.....

Kweli mh.Rais ameamua kuifanya kazi hii kubwa....kazi imempata MWENYEWE....hakika ni WITO mkubwa na mgumu kuliko wito wote duniani......


#Mwenyezi Mungu Ampe Afya Njema na uhai mrefu Rais wetu SSH , amen 🙏

#Siempre JMT🙏
#Mpera Mpera Wa Maendeleo 💪
 
Rais anapaswa kuadimika kidogo

Mkapa ndio Rais aliekuwa anaadimika zaid na siku anaongea lazima ufuatilie

JPM na Samia wanaongoza kwa kujitokeza sana kila mara
Tanzania ukiadimika siku mbili wataanza kusema UMEKUFA wanaficha TAARIFA.

Akili ya Mbongo hate shetani anashangaa.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
Jana Azindua Sensa......Dar.
Juzi Azindua usafirishaji mama mjamzito....
Juzi ahudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
Juzi yuko Zanzibar Anafuturisha....
Majuzi Rais Agawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
Majuzi aapisha wateule...Dodoma.....
Majuzi Rais Samia azindua daraja la Tanzanite....Dar.
Apokea ripoti ya task force Dar...
Azindua Mkutano wa Maridhiano.....Dodoma.
Azindua Mradi maji Mlandizi....
Rais aenda Dubai...
Azindua Chanjo
Azindua.....
Atembelea mradi....

Duh!!!!!!!!
Ni kweli na huu mfungo,akapumzike japo mwezi
 
Mbona tunamuona kwenye uzinduzi anakuwa kapumzika tu....anaandaliwa hotuba ya kurasa 8 anafanya summary ili asome point muhimu tu kurasa 3 ila nazo zinamchosha anaishia kusoma page moja tu! Hataki shida mama wa watu....uwiiii!, ukishindwa kuongiza Tanzania hukopata nchi nyingine ya kuongiza kwenye sayari hii ya Dunia!

😄
 
Ndio maana akina Makamba wanajipigia tu, Mama kila siku mialiko na haachi mwaliko hata mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
Jana Azindua Sensa......Dar.
Juzi Azindua usafirishaji mama mjamzito....
Juzi ahudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
Juzi yuko Zanzibar Anafuturisha....
Majuzi Rais Agawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
Majuzi aapisha wateule...Dodoma.....
Majuzi Rais Samia azindua daraja la Tanzanite....Dar.
Apokea ripoti ya task force Dar...
Azindua Mkutano wa Maridhiano.....Dodoma.
Azindua Mradi maji Mlandizi....
Rais aenda Dubai...
Azindua Chanjo
Azindua.....
Atembelea mradi....

Duh!!!!!!!!
Tatizo viongozi wetu wanapenda publicity kuna mambo mengine hayahitaji Raisi au viongozi wa ngazi za juu kuwepo katika uzinduzi wake, pia ni ubadhirifu wa pesa za umma.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
Jana Azindua Sensa......Dar.
Juzi Azindua usafirishaji mama mjamzito....
Juzi ahudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
Juzi yuko Zanzibar Anafuturisha....
Majuzi Rais Agawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
Majuzi aapisha wateule...Dodoma.....
Majuzi Rais Samia azindua daraja la Tanzanite....Dar.
Apokea ripoti ya task force Dar...
Azindua Mkutano wa Maridhiano.....Dodoma.
Azindua Mradi maji Mlandizi....
Rais aenda Dubai...
Azindua Chanjo
Azindua.....
Atembelea mradi....

Duh!!!!!!!!
Hizo ndio kazi za Raisi mkuu,mbona sisi wengine tunaoenda kuuza nyanya sokoni kila siku hamsemi tupumzike...
 
Mbona tunamuona kwenye uzinduzi anakuwa kapumzika tu....anaandaliwa hotuba ya kurasa 8 anafanya summary ili asome point muhimu tu kurasa 3 ila nazo zinamchosha anaishia kusoma page moja tu! Hataki shida mama wa watu....uwiiii!, ukishindwa kuongiza Tanzania hukopata nchi nyingine ya kuongiza kwenye sayari hii ya Dunia!
Kuongoza kundi la wajinga ni kazi ngumu kuliko kuongoza wanaojitambua, ndio maana Magufuli aliishia kuumwa moyo na hatimaye wakamaliza shughuli.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
Jana Azindua Sensa......Dar.
Juzi Azindua usafirishaji mama mjamzito....
Juzi ahudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
Juzi yuko Zanzibar Anafuturisha....
Majuzi Rais Agawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
Majuzi aapisha wateule...Dodoma.....
Majuzi Rais Samia azindua daraja la Tanzanite....Dar.
Apokea ripoti ya task force Dar...
Azindua Mkutano wa Maridhiano.....Dodoma.
Azindua Mradi maji Mlandizi....
Rais aenda Dubai...
Azindua Chanjo
Azindua.....
Atembelea mradi....

Duh!!!!!!!!

Atakuwa anatafuta uhalali wa 2025 😂😂
 
Tafuta kazi ufanye,
Samia hawezi kupumzika mpaka hakikishe Tanzania imepata maendeleo bwana Kalimanii
Maendeleo siyo tukio la ghafla, ni progress.

Binadamu yoyote akifanya kazi iwe ya kuumiza akili au misuli yapaswa apumzike kwa muda, Mama shughuli ni nyingi yampasa apumzike atathmini na ku evaluate mwenendo wa focus zake.

Atawahi 'kuzeeka' mwili na akili kabla hata miaka miwili haijaisha.

Kuongoza nchi ya watu 60m+ siyo sawa nakuongoza familia ya watu watano, aangalie asijefanyiwa sabotage.
 
Kwenye vita (sasa hivi vita ya wizi/mafisadi) kuna kitu kinaitwa 'diversion' lengo ni kupoteza umakini wa jambo muhimu. kwahiyo madam prezida mafisadi wanamfanya awe bize kwa zisizozalisha ili wakwibe! just imagine ndani ya mwaka mmoja wamekwiba mpaka kutoka uchumi wa kati na kuwa fukara. kukopa hela ili mafisadi waibe na mikopo hatuoni imefanya nini? aibu!!
 
Anapenda kuonekana kwenye media kila siku. Nafikiri yeye anaamini iyo ndio njia ya kujenga jina lake.

Kuna maswala ambayo rais hapaswi ata kuhudhuria. Zinduzi adi za billion 10 yumo, ugawaji wa pikipiki yumo.

Imefika hatua ile shauku ya kusikiliza leo anasema nini haipo.
 
Unaupiga Mzinga Wa Nyuki Mawe Na Hili Jua
Ngoja Waje
Licha ya madhaifu Magufuli.. Ila nafikiri Mama Samia hajiwezi, hajui anasimamia nini.. Na wasaidizi wake wanamfanya awe busy ili wapige zaidi. Hapa tumepigwa.. Rais anawaza uchaguzi tu.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
Jana Azindua Sensa......Dar.
Juzi Azindua usafirishaji mama mjamzito....
Juzi ahudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
Juzi yuko Zanzibar Anafuturisha....
Majuzi Rais Agawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
Majuzi aapisha wateule...Dodoma.....
Majuzi Rais Samia azindua daraja la Tanzanite....Dar.
Apokea ripoti ya task force Dar...
Azindua Mkutano wa Maridhiano.....Dodoma.
Azindua Mradi maji Mlandizi....
Rais aenda Dubai...
Azindua Chanjo
Azindua.....
Atembelea mradi....

Duh!!!!!!!!
TUPO NYUMA KIMAENDELEO wacha Aupige mwingi
 
Tatizo viongozi wetu wanapenda publicity kuna mambo mengine hayahitaji Raisi au viongozi wa ngazi za juu kuwepo katika uzinduzi wake, pia ni ubadhirifu wa pesa za umma.
Wiki sikuona sehemu inaayohitaji raisi awepo, shame
 
Mkuu, yeye Yuko Kazini kwake.
Tatizo lako huna Cha kufanya zaidi kukaa kila wakati kufuatilia watu wanachofanya ili ukosoe.

Nawahurumia sana majirani zako.
Hapa sijakosoa nimeshauri, ila kwa CCM sioni ajabu ukishauri unaonekana umekosoa. Ndugai alishauri tusikope sana unajua kilichompata.
 
Back
Top Bottom