MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Huko CHADEMA ulishawahi kushauri nini wakakuchukulia umeshauri?Hapa sijakosoa nimeshauri, ila kwa CCM sioni ajabu ukishauri unaonekana umekosoa. Ndugai alishauri tusikope sana unajua kilichompata.