Ni wakati wa Rais Samia kuchukua likizo ya Mapumziko

Ni wakati wa Rais Samia kuchukua likizo ya Mapumziko

Hapa sijakosoa nimeshauri, ila kwa CCM sioni ajabu ukishauri unaonekana umekosoa. Ndugai alishauri tusikope sana unajua kilichompata.
Huko CHADEMA ulishawahi kushauri nini wakakuchukulia umeshauri?
 
Samia hakuna anachofanya katika nchi hii.Kuwa Rais siyo kuzindua zindua mambo ya bodaboda kama ulivyoandika hapo juu.

Kuwa Rais wa nchi ni kutatua zile changamoto kubwa kubwa ambazo zinaathiri kila mtu in macro level kitu ambacho huyu Samia hafanyi.

Samia ni hopeless inept leader ambae anapaswa kung'atuka yeye mwenyewe kwa hiari yake ili kuokoa Taifa hili.

Ona hapa wanachofanya Marais wanaojitambua wakati huu ambao Dunia inakumbwa na tatizo kubwa la mafuta kupanda bei kutokana na vita ya Russia👇👏👏👏
7UID.jpeg
IMG_20220402_184504_432.jpg
IMG_20220404_100611_745.jpg
AARD4K.jpeg
Ona hapa sasa anachofanya Samia👇🐒🐒🐒
022040141919.jpg
oWG5.jpg
AI4SIT.jpeg
 
Licha ya madhaifu Magufuli.. Ila nafikiri Mama Samia hajiwezi, hajui anasimamia nini.. Na wasaidizi wake wanamfanya awe busy ili wapige zaidi. Hapa tumepigwa.. Rais anawaza uchaguzi tu.
Mamako anajiweza
 
Anapenda kuonekana kwenye media kila siku. Nafikiri yeye anaamini iyo ndio njia ya kujenga jina lake.

Kuna maswala ambayo rais hapaswi ata kuhudhuria. Zinduzi adi za billion 10 yumo, ugawaji wa pikipiki yumo.

Imefika hatua ile shauku ya kusikiliza leo anasema nini haipo.
Unaona wivu kazindue wewe
 
Ndio maana akina Makamba wanajipigia tu, Mama kila siku mialiko na haachi mwaliko hata mmoja.
Be wise mkuu. Raisi hajipangii mwenyewe chakubanga! Ratiba ya raisi hapangwi na mwenyewe wala haizuii wizi kwa vyovyote vile
 
It's not necessary Kila kitu akafanye yeye..

Nadhani mengine yangeweza kufanywa tu wasaidizi wake. Mfano kuzindua mradi wa maji, zoezi la sensa na makazi, kufutilisha nk nk..

Nadhani pia kwa wakati huu yeye anapaswa zaidi kuwa ofisini na wasaidizi wake wa mambo ya kiuchumi wakifikiria njia za kuleta nafuu ya kiuchumi ktk maisha ya wananchi..

Lakini anaonesha kuwa yuko bize kupigana vikumbo na wasaidizi wake kuwania posho za safari kila mahali..!
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

  • Leo anazindua Mdaharo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
  • Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
  • Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
  • Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
  • Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
  • Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
  • Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
  • Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
  • Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
  • Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
  • Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
  • Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...

Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!

Afya ya Rais ni Muhimu.
Rikizo ni nini? Hivi shule mkaenda kudanga tu!
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

  • Leo anazindua Mdahalo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
  • Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
  • Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
  • Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
  • Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
  • Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
  • Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
  • Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
  • Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
  • Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
  • Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
  • Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...

Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!

Afya ya Rais ni Muhimu.
Upuuzi mtupu.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

  • Leo anazindua Mdahalo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
  • Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
  • Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
  • Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
  • Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
  • Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
  • Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
  • Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
  • Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
  • Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
  • Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
  • Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...

Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!

Afya ya Rais ni Muhimu.

Hii ndo kazi anayoimudu
 
Mbona tunamuona kwenye uzinduzi anakuwa kapumzika tu....anaandaliwa hotuba ya kurasa 8 anafanya summary ili asome point muhimu tu kurasa 3 ila nazo zinamchosha anaishia kusoma page moja tu! Hataki shida mama wa watu....uwiiii!, ukishindwa kuongoza Tanzania hukopata nchi nyingine ya kuongoza kwenye sayari hii ya Dunia!
Kwa kweli
 
Samia hakuna anachofanya katika nchi hii.Kuwa Rais siyo kuzindua zindua mambo ya bodaboda kama ulivyoandika hapo juu.

Kuwa Rais wa nchi ni kutatua zile changamoto kubwa kubwa ambazo zinaathiri kila mtu in macro level kitu ambacho huyu Samia hafanyi.

Samia ni hopeless inept leader ambae anapaswa kung'atuka yeye mwenyewe kwa hiari yake ili kuokoa Taifa hili.

Ona hapa wanachofanya Marais wanaojitambua wakati huu ambao Dunia inakumbwa na tatizo kubwa la mafuta kupanda bei kutokana na vita ya Russia👇👏👏👏
View attachment 2181735View attachment 2181736View attachment 2181737View attachment 2181738Ona hapa sasa anachofanya Samia👇🐒🐒🐒View attachment 2181740View attachment 2181742View attachment 2181743View attachment 2181744
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty.

0B1FA390-A4A1-45F6-92EC-32CCFCBE6A5E.jpeg
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

  • Leo anazindua Mdahalo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
  • Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
  • Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
  • Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
  • Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
  • Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
  • Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
  • Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
  • Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
  • Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
  • Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
  • Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...

Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!

Afya ya Rais ni Muhimu.
Yupo USA anapumzika baada ya kazi nyingi hapa nchini.
 
Mama pumzika....

 
Tukutane kesho Zanzibar kwenye royo tua mama atakuwepo.
 
Tangu aapishwe sijui kama kapumzika.

  • Leo anazindua Mdahalo wa miaka 100 ya Nyerere....Kibaha.
  • Jana alikuwa anazindua Sensa......Dar.
  • Juzi alikuwa anazindua usafirishaji mama mjamzito....
  • Juzi alihudhuria kumbukumbu ya Karume....Zanzibar,
  • Juzi alikuwa Zanzibar Anafuturisha....
  • Majuzi Rais alikuwa anagawa pikipiki 7000 za Mpango kazi kilimo....
  • Majuzi alikuwa Dodoma aliapisha wateule......
  • Majuzi Rais Samia alikuwa anazindua daraja la Tanzanite....Dar.
  • Majuzi ile alikuwa ikulu akipokea ripoti ya task force...
  • Majuzi tena alikuwa Dodoma akifungua Mkutano wa Maridhiano....
  • Ni juzi tu alikuwa Mlandizi akizindua Mradi maji....
  • Juzi juzi tu rais alikuwa Dubai...

Imekuwa kila siku Rais Azindua.....Rais Atembelea mradi.... Duh!!!!!!!!

Afya ya Rais ni Muhimu.
Kwa taarifa yako huyu ni moja kati ya marais wavivu na wazembe. Uthibitisho ni jinsi mambo yanavyokwenda hovyo kila sekta. Sijui kwanini watanzania mnadanganyika kirahisi hivyo?!
 
Back
Top Bottom