Ni wakati wa Rais Samia kuchukua likizo ya Mapumziko

Kwa taarifa yako huyu ni moja kati ya marais wavivu na wazembe. Uthibitisho ni jinsi mambo yanavyokwenda hovyo kila sekta. Sijui kwanini watanzania mnadanganyika kirahisi hivyo?!
Ofisini hakai ili kutathimini mambo kila siku kiguu na njia wajanja kina January wanajipigia wapendavyo.
 

kuchukua likizo ya Mapumziko wakati huu ni mwaka wa Pili tangu awe Rais hajawahi kufika mtwara, mbeya, songea, Rubuma, Njombe, Simiyu,Katavi, Songwe, Lindi, Kigoma, Kagera, Shinyanga, Tabora, Singida,Iringa,Morogoro na Rukwa. Maza hayuko serious​

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…