Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hii mada kuna watu wanasema ni ukabila lakini kiukweli ina madini ya kutosha.Ukizingatia ushauri huu unaoutoa unakuta muda mwingi watu tumechezea hela kwa sababu hatukuwa na malengoHuu mwezi October, Weka lengo kuwa January inabidi uwe na Milioni 2 kwa ajili ya kwenda Serengeti National Park
Hakika mtu akiomba huwezi kutoa pesa yako
Anza na lengo kwanza
Ukiwa na Lengo unakuwa mgumu sana
Alisamehe?Wakinga wastaarabu sana.
Ona Mangula alovyopewa sumu, mzee wa watu akasamehe tu.
Vijana wamemaliza chuo sasa, Ukiwauliza wana lengo gani watakuambia kutafuta kaziHii mada kuna watu wanasema ni ukabila lakini kiukweli ina madini ya kutosha.Ukizingatia ushauri huu unaoutoa unakuta muda mwingi watu tumechezea hela kwa sababu hatukuwa na malengo
Ukitenga muda wa kumsoma mleta mada unaweza pata jibu la swali lako.lakini hata hivyo umetia chumvi.Huwa hawakai mwezi tu lazima wasote ndo watokeNaomba tujuze kidogo, hivi inakuwaje Mkinga anakuja hapa Dar yuko hoi kiuchumi, atauza kahawa na kashata kwa mwezi tu, mwezi unaofuatia anakuwa na frames kadhaa Kariakoo, inawezekanaje hili?
Bado yapo mkuu tena yameongezeka sana.Unakumnuka disapperance ya watoto mpaka Marehemu Magufuli akaingilia kati?Ni elimu ya afya tu haikuwepo muda mrefu huko Makete
Mtu akiwa na mtoto akaumwa kwashakoo utaambiwa uchawi
Mtoto hakupata chanjo udogoni akipata tatizo utasikia kafara
Fuatilia Leo kama utasikia hayo mambo
Ingekuwa kweli basi hapo kariakoo kila siku wakinga wangehudhuria msiba badala ya kazi
Vijana wamemaliza chuo sasa, Ukiwauliza wana lengo gani watakuambia kutafuta kazi
Naunga mkono hilo lengo Lao kuu kutafuta kazi
Wakipata kazi hapo ndio utofauti Unaanza wanakuwa hawana malengo tena baada ya kupata kazi
Kwa sisi wakinga hapo ndio tunakaa na kuweka malengo ya maana kwa kuwa kazi unayo kinachofuata Malengo ya kuzalisha pesa unayopata kwa kufanya biashara
Vijana wengi baada ya kupata kazi hakuna jipya tena
Utakuwa mchawi si bureBado suala la kafara za binadamu kwenye utajiri wa wakinga ni kubwa sana, bado wakinga wana safari ndefu ya kupata utajiri wa kutumia akili na sio ndagu. Wachagga wapo mbele sana kwa hilo.
We ni mshirikina?Nimekaa Njombe, najua ni kweli.
Mfano mdogo tu na wa waziUtakuwa mchawi si bure
Namba ya mpwa wako hujaiweka, weka kwa faida yangu ,wengi wanaona Noma kuombaMimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia
Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi
Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina
Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE
Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu
Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli
Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe
Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha
Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:
Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika
Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri
Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga
Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi
Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu
Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu
Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja
Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu
Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Ni kweli ninyi Wakinga utajiri wenu ni wa masharti kwa asilimia kubwa?Mimi Gussie nimezaliwa kaskazini na watu wananijua ni wa huko, Mimi ni Mkinga kamili wa Ikonda. Nimekaa sana Nchini Rwanda pia
Anayesemwa sana na watu Mzee Mwakipande aliyekuwa anatoa utajiri alikuwa mjomba wangu na alikwishafariki zamani, Hivi sasa anayefanya kazi za uganga ni mtoto wa mjomba anaitwa Leonard Mwakipande ndiye alirithishwa kazi
Wanaokwenda huko si matajiri tu kama watu wanavyosimuliwa, Kuna watu wana matatizo tofauti ya magonjwa ya ushirikina
Na sio kila tajiri unayemuona akienda huko amefuata utajiri Wengine wamezaliwa huko na huko ni kwao kama mimi GUSSIE
Kama una swali lolote kuhusu huko kwa Mwakipande niulize nitakujibu kwa kadri mimi ninavyoishi na hao ndugu zangu
Mambo mengi yanayosemwa kuhusu sisi wakinga sio kweli, Na hata hizi habari za utajiri kuwa Binamu yangu Leonard Mwakipande anatoa utajiri sio kweli
Kaburi la mjomba ni kweli hakuzikwa kama kuzikwa bali amewekwa kwenye kitanda chake na amejengewa nyumba ndogo tu, Yeye haozi na aliomba asizikwe
Maisha ya huko kwetu kwa sasa yamebadilika sana, Zamani tulitembea kwa miguu toka Ikonda mpaka huko, Leo kuna pikipiki za kutosha
Kuhusu Mimi Gussie kupenda siasa na kufanya kama kitu cha ziada ilitokana na sababu zifuatazo:
Mosi, Wakati huo wazazi wangu wanafanya biashara wao hawakusoma sana na hii ni kwa wakinga wengi wenye biashara hapo kariakoo, Wazazi waliamua kukata shauri na kutupeleka shule watoto ili tujue kuwa wahasibu wao na washauri. Mawazo yao hayo sasa yamefanya wakinga wafanye biashara za kisasa kwa kuzingatia sheria za nchi na kutokulalamika
Kwa kuwa wazazi wetu wengi wa kikinga walikuwa na pesa lakini elimu ndogo kila wakati waliona mambo ya kodi na sheria zinawaonea, Lakini sasa wakinga baada ya sisi watoto kwenda shule mambo yamebadilika na tunashauri wazazi vizuri
Kupitia haya mambo ya kwenda TRA na kurudi, Kuhudhuria vikao vya biashara na wanasiasa yakanifanya na Mimi kwanini nisiingie huko ili kupenyeza agenda zetu wakinga
Pili, Niliumia kuona wakinga ambao wapo kwenye siasa na Wakututetea ni wachache sana, Hata Darasani watu kutoka ukinga tulikuwa kidogo sana, Leo hii hapo Udsm sisi wakinga tuna hata mkufunzi Mkinga haikuwa jambo rahisi
Mwisho sisi ni wamoja na wala huwezi sikia tunagombana ingawa tunagombana lakini mambo yetu tunayamaliza kindugu, Hatuna wivu wala chuki sisi na mtu
Nakaribisha maswali kuhusu wakinga, Uliza nitakujibu
Mpaka Leo Mimi nikisikia Mkinga mwezangu amenunua Gari jipya nitajitahidi ninunue kama gari lake, Wakinga tunaigana sana mambo yetu, Ukifika Njombe pale utashangaa unaweza kuta magari yote ya aina moja
Msitucheke wakinga na mambo yetu ya kuigana kwenye kununua vitu
Any Question? , I 'm here to reply about Kinga' s
Broo mi kwa vijana wengi wa kibongo hasa wanaoanza kazi, maisha ya kuiga na kutokuwa na malengo! Mfano unataka starehe zote ziwe zako pisi kali,pombe,club n.k hapo unamshahara laki saba.Utakuwa na maajabu gani utaishia kuwa mjuaji tu lakini mwisho wa siku utakuwa failure mkubwa! Nidhamu ya maisha ni muhimu sana unakutana na watu kazini wote mpo Dar na ofisi moja wewe msharaha laki tano mwingine milion1.5 baada ya wiki mbili analalamika hana hela anaanza kukuomba unamshangaa wewe unaelimu ya fedha kweli?Wanakula maisha, miaka mitano mbele wananuka mikopo hadi wanatia huruma,
Hii mada ina upako aiseeeee,full madiniHata mimi wakati nakuja Dar kwa mara ya kwanza nilikuja na nguo moja tu ambazo ndio nilikuwa nimezivaa, Sio kwamba wazazi hawakuwa na pesa au Mimi sikuwa na pesa ni njia za kusoma mazingira tu
Nikiwa na umri wa miaka 10 nilikuwa ninajua aina za misumeno ya kupasulia mbao na aina za mbao na jinsi ya kufunga mzigo na kuusafirisha Dar kwa wazazi
Nilifahamu hata tani kwa kuona tu idadi ya mbao
Na wazazi wameishi hapo Dar kitambo wakiuza mbao maeneo ya Buguruni na Mwenge enzi hizo
Unapoenda kufunga mzigo kijijini wa viazi au maharage ukivaa kiheshima utapigwa sana bei, Kila Mkinga anajua hilo bora uonekane fara
Kuuza chai hata Mimi nilifanya ili Kuzoea mazingira na vichochoro vya kariakoo
Usipozunguka utajifunza muda gani, Unapouza kashata unapata story watu wanaishi vipi, wanakaa vipi
Sio kweli ukiona Mkinga anafanya umachinga ukafikiria hana pesa
Mkinga anaweza akajifanya machinga wa vyombo huku anazaidi ya mtaji wa Milioni 100.Ni kusoma mazingira na Kujifunza kuna siku ukianguka utapambana vipi
Ishu ni lengo. Anauza kashata ili afikie lengo,
Mfano mdogo tu na wa wazi
Yule Fred Vunja Bei amemaliza chuo sio muda mrefu sana
Kijana wa Kikinga rafiki yake walisaidiana na kushikana mkono
Muulize Fred Mkinga mwezangu alikuwa na Lengo gani? Pesa alikuwa nayo kiasi gani?
Ni kupambana tu mkuu
Kwa hiyo kuagiza T shirt zote za Simba ni uchawi?
Uchawi ni Starehe
Mbona mtoa mada kaweka wazi kuwa wakinga hawakupata formal education mapema.Unaposema wakinga hawana akili unamaanisha nini? Yaani mtu aweze biashara ya mamilioni halafu useme hana akili? Wanasiasa mie naona ndo hawana akili.Mtoe kwenye siasa uone Kama atakuwa na akili ya kufanya kitu kingine zaidi ya kuunga mkono juhudiSiasa inataka akili na Wakinga hawana akili
Ngozi nyeusi na sisi ni mbingu na ardhiHii issue ni makabila mengi Afrika, kwa sababu kwenye kuhustle unakuta kila step unafanya mwenyewe na hauna uwazi kwenye biashara yako tofauti na watu weupe wahindi au wazungu ambao kwanza wana formal way ya kufanya shughuli zao, ndio maana hawayumbi Mzee ASAS kafa lakini hata kelele huwezi kusikia na kampuni inasonga, Mzee Mengi alivokufa hadi leo wako mahakamani wanagombea urithi.
Ndiyo maana nimemwambia huyo jamaa anayesema wakinga wachawi,yeye ndo atakuwa mchawi.Kwanini hataki kuamini hizi kanuni unazofundisha?Mfano mdogo tu na wa wazi
Yule Fred Vunja Bei amemaliza chuo sio muda mrefu sana
Kijana wa Kikinga rafiki yake walisaidiana na kushikana mkono
Muulize Fred Mkinga mwezangu alikuwa na Lengo gani? Pesa alikuwa nayo kiasi gani?
Ni kupambana tu mkuu
Kwa hiyo kuagiza T shirt zote za Simba ni uchawi?
Uchawi ni Starehe
Tetete wakinga wana mali gani na waha? wachaga sawaWachaga wanaitwa wezi, wakinga wanaitwa wachawi, waha wanaitwa wachawi trust me hayo makabila ndio kwangu naona ni wapambanaji kweli kweli na hawana longolongo na ndio maana wataendelea kua juu Mkinga anaduka dogo kijijini kwao, chakula wanachokula nyumbani mchana ndio anapelekewa na yeye pia, wewe kijijini hapo hapo unakanyaga supu lini utasave pesa
Mimi sio mshiikina kabisa, ila taarifa ninazo.Nilipokuwa Njombe Mkinga akifiwa na mtu wenyewe walikuwa wanasema, mbona haikuwa siri!?Halafu mbaya zaidi sasa, wamewaambukiza na watu wengine sasa.Nchi imekuwa ya makafara tu, biashara ni uchawi uchawi tu.We ni mshirikina?
Mbona wao tu ndiyo wanaogoza?Kama ukuhusisha familia kwenye biashara zako ukifa lazima biashara zife, hili si la wakinga bali ni kwa Watanzania wote.