Ni wapi kwenye Biblia inataja asili ya mtu mweusi?

Ni wapi kwenye Biblia inataja asili ya mtu mweusi?

Mtu mweusi ametokea hapa👇
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
 
Mtu mweusi ametokea hapa👇
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
wapi hamu katajwa kuwa ni mweusi kaka?
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.

Katika Waliodanganyika Basi Wewe Wa Kwanza
 
biblia toka mwanzo wake hadi mwisho imetafuta channel za kuonyesha kuzakiwa kwa taifa la israel na namna gani lilivyo super,sababu toka mwanzo zimeachwa historia za vizazi vingine kibao ila vimebebwa vile ambavyo channel yake inakuja kumleta yakobo(israel)...na mna na taifa la watoto wake lilivyozaliwa huko misri,baada ya hapo hakuna mahala tena pameandikwa kuhusu mataifa mengine.

ukisema ni kwa mtoto wa nuhu,ni kivipi alikua mweusi wakati watoto wote walizaliwa na mama mmoja na baba mmoja?


ukwelini kwamba tunajipendekeza tu.....kama kuna mbingu basi haituhusu watu weusi sababu hakuna mahala tumetajwa kuwa na maunganiko na mungu,hata ambapo nchi za afrika zimetajwa basi ni za mataifa ya waarabu ambao wanafanana pakubwa na hao wayahudi na wana historia zakufanana.
 
biblia toka mwanzo wake hadi mwisho imetafuta channel za kuonyesha kuzakiwa kwa taifa la israel na namna gani lilivyo super,sababu toka mwanzo zimeachwa historia za vizazi vingine kibao ila vimebebwa vile ambavyo channel yake inakuja kumleta yakobo(israel)...na mna na taifa la watoto wake lilivyozaliwa huko misri,baada ya hapo hakuna mahala tena pameandikwa kuhusu mataifa mengine.

ukisema ni kwa mtoto wa nuhu,ni kivipi alikua mweusi wakati watoto wote walizaliwa na mama mmoja na baba mmoja?


ukwelini kwamba tunajipendekeza tu.....kama kuna mbingu basi haituhusu watu weusi sababu hakuna mahala tumetajwa kuwa na maunganiko na mungu,hata ambapo nchi za afrika zimetajwa basi ni za mataifa ya waarabu ambao wanafanana pakubwa na hao wayahudi na wana historia zakufanana.
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
 
unat
Wimbo Ulio Bora 1:5
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.
unataka kusema selemeni alikua mweusi?
 
wapi hamu katajwa kuwa ni mweusi kaka?
Watu wengi uelewa wenu ni mdogo.
Unadhani kuna haja gani mtu kutunikiwa stashahada, shahada mpaka PhD ya mambo ya Biblia ikiwa kitabu chenyewe ni kifupi vile?
Biblia pana , yamechokonolewa tu mambo machache ila ukikutana na wataalamu tutakufundisha
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Chunvi mchanga ndo una tuungia apa mwongo wewe
Unafamilia ww hacha kamba please [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Asili ya mwanadamu ni kuwa na ngozi nyeusi. Na maandiko matakatifu huthibitisha jambo hilo kwa kuwa inamtaja mtu wenye kuzaliwa na ngozi nyekundu kama vile si kitu cha kawaida.

Ukweli juu ya jambo hili unathibitika kupitia kuzaliwa kwa watoto wa Isaka. Maandiko yanaitaja ngozi ya Esau pale alipozaliwa kwa kuwa haikuwa wa kawaida kama ya wazazi wake. Lakini alipozaliwa Yakobo rangi ya ngozi yake haitajwi, kwa kuwa alikuwa na ngozi ya kawaida nyeusi kama ya baba na mama yake.

Nukuu ya maandiko hapa chini inaweza kutupa tafakari nzuri kama vile ifuatavyo;

Mwanzo 25

24 Siku zake za kujifungua zilipotimia, Rebeka alijifungua mapacha.

25 Wa kwanza alikuwa mwekundu, mwenye nywele mwili wote; hivyo wakamwita Esau.

26 Wa pili alizaliwa akiwa amemshika Esau kisigino, hivyo wakampa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka sitini wakati Esau na Yakobo walipozaliwa

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Watu wengi uelewa wenu ni mdogo.
Unadhani kuna haja gani mtu kutunikiwa stashahada, shahada mpaka PhD ya mambo ya Biblia ikiwa kitabu chenyewe ni kifupi vile?
Biblia pana , yamechokonolewa tu mambo machache ila ukikutana na wataalamu tutakufundisha
Kuna watu wana Masters na PhDs za lugha ya ki Latin,
Lugha iliyokufa

Kuwa na PhD ya Biblia, ni yale yale
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
I am sorry brother, ila umelaaniwa peke yako nadhani usitusemee wote
 
Back
Top Bottom