Ni wapi kwenye Biblia inataja asili ya mtu mweusi?

Ni wapi kwenye Biblia inataja asili ya mtu mweusi?

Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Kweni mtu mweupe katajwa wapi?


Kusema Wathesalonike au waYudea ndo inamaanisha ni weupe? Ukitaka kumaanisha Israel imetajwa kwenye biblia na ina weupe basi elewa Kush ilitajwa pia na ina weusi, Hata Tabora walikuwepo waarabu ambao ni weupe
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Mtu mweusi anatembea kwenye laana, baada ya mwasisi wao kuuchungulia uchi wa baba yao (Nuhu).

Laana hiyo imeondolewa na Yesu Kristo kupitia kifo cha msalaba. Kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu kumetuondolea hatia zote maana aliigongomelea msalabani ile hati iliyokuwa ikitushtaki. Damu ya Yesu inatutakasa maovu, dhambi, laana ,... zetu zote. Ili yote haya yatimie unapaswa kumwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.


hakika YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Ukweli ni kwamba, UKWELI kuhusu Mungu umefichwa.

Huo mnao hisi ni ukweli kiasi kwamba mnataka kurushiana ngumi sio ukweli kamili, ni nusu ya ukweli... kwa maelezo mengine ni nusu ya uwongo.

Kitu chochote chenye thamani kubwa huwezi ukakipata kiurahisi, maarifa yenye umuhimu kwa binadamu yamefichwa na watu wenye akili. Ili kuyapata inabidi uwe mtafutaji mwenye kiu haswa.

Maarifa ya Mungu hayawezi kuwa exposed kwa kila mtu kama hivyo vitabu vya kiimani vinavyo gawiwa, kuna watu wana nia ovu na wakiyapata hayo maarifa watayatumia vibaya na wala usitegemee kwamba Mungu akiona hivyo basi atashuka kuwazuia wasiyatumie (watu wote ni wa Mungu). Maamlaka ya kutunza hayo maarifa yapo mikononi mwa wale waliyonayo.

Peace be upon you!
 
Kwahiyo Sasa mnazaa watoto weupe kama zamani?
Sasa nanyi mnapekeka chanjo US?
Usijibu tu kwa mihemko.
Kuna vitu waliambiwa wana wa Israel tu.
Kuna vitu waliambiwa wana wa Yakobo(Israel) sasa na vimegeuka kuwa vya wote waliomwamini Yesu.
Hapa watu inabidi mupelekwe shule upya mufundishwe.
Hao wana wa Israel wengi tu zaidi ya 88% au 90 hawajampokea Yesu na bado wanatembea na ahadi za Mungu pamoja na kuukumbatia ushoga na usagaji

Mtu mweusi anatembea kwenye laana, baada ya mwasisi wao kuuchungulia uchi wa baba yao (Nuhu).

Laana hiyo imeondolewa na Yesu Kristo kupitia kifo cha msalaba. Kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu kumetuondolea hatia zote maana aliigongomelea msalabani ile hati iliyokuwa ikitushtaki. Damu ya Yesu inatutakasa maovu, dhambi, laana ,... zetu zote. Ili yote haya yatimie unapaswa kumwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.


hakika YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Je kuna udongo unaofanana na kabila nyengine (Weupe ) ? Maana udongo mweusi unaofanana na rangi yetu upo !! Je Adamu alikuwa rangi Gani ?
Nikuachie tafakuri hii, ukipata jibu , nisaidie ndugu.
 
Mtu mweusi anatembea kwenye laana, baada ya mwasisi wao kuuchungulia uchi wa baba yao (Nuhu).

Laana hiyo imeondolewa na Yesu Kristo kupitia kifo cha msalaba. Kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu kumetuondolea hatia zote maana aliigongomelea msalabani ile hati iliyokuwa ikitushtaki. Damu ya Yesu inatutakasa maovu, dhambi, laana ,... zetu zote. Ili yote haya yatimie unapaswa kumwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako.


hakika YESU NI BWANA NA MWOKOZI
naona umepagazwa na dini wewe! [emoji846]
 
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Kufatilia asili ya MTU kwa kutumia biblia utakua unajiumiza kichwa bure.

Uking'ng'ana na biblia utakuta mtu ana miaka chini ya elf5 tangu aumbwe.
nje ya biblia mtu ana miaka na miaka hapa duniani.

Kwa kifupi biblia agano la kale inazungumzia chimbuko la waisraeli tu na mishemishe zao, sio dunia nzima kwa ujumla.
 
Mtu mweusi ametokea hapa👇
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Maajabu ni kwamba mtu mweupe hawezi kuzaa mtu mweusi ila mweusi anaweza kuzaa mweupe.
DNA ya mweusi imeprove ni DNA pekee orgin ya wanadamu wote.
Na tumaini siku moja kanisa litafafanua kama lilivyo fanya kwa Galileo kuhusu dunia kuwa duara na kulizunguka jua.
 
Watu weupe walitokea kama albino wanavyotokea. Albino wakizaana wenyewe kwa wenyewe watoto wataotoka wote wanakuwa albino
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Wewe jamaa hujielewi hakuna muafrika aliye laaniwa kwenye bible soma vizuri
 
Mtu mweusi ametokea hapa👇
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Utumwa mwingine na racism ya biblia kwa mtu mweusi iko hapa.

Mtu mweusi kwenye biblia ni kama mtoto aliyepatikana baada ya mama kubakwa.

Hii biblia ndio iliyotu-influence tukawa atheist

Ukisoma hicho kibwagizo in deep kwenye Genesis 9:22-23 utaona huyo nuhu alikua mlevi siku hiyo alilewa chakari akakaa uchi

Mtoto wake ambaye ni ham alipomuona baba yake yuko uchi alimcheka kisha alienda nje kuwa alika wenzake na walipokuja wakamuona baba yao akiwa uchi wao walirudi kuchukua nguo na kumsitiri

Baba baada ya pombe kumtoka akaitisha bunge kujadiri yaliyojiri kipimdi yupo tungi, akatoa laana kwa huyo mtoto ambaye alimcheka laana ambayo ilihusisha vizazi vyake kuwa vitakua ni uzao wa laani wenye rangi nyeusi

Swali la kujiuliza

Tangu lini kwenye biblia Mungu alibariki ulevi?

Laana ya nuhu kwa mtoto wake iliidhinishwa na Mungu gani ambaye ana support ulevi kupitiliza mpaka mtu anatenda dhambi hadi kukaa uchi?

Kwanini Mungu hakumpa laana huyo mzazi kwa tukio hilo la kujidhalilisha na kukiuka sheria zako za ulizoziandika kwenye kitabu cha Romans 13:13 ukisema "Tuishi maisha ya heshima kama inavyopasa wakati wamchana: si kwa ulafi na ulevi; si kwa ufisadi na uasherati; si kwa ugomvi na wivu."

Halafu kitu kingine ni Mungu gani anayetoa laana kwa watoto? Nikitazama bible kuna quote inasema "waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mbinguni ni wao"

Huyu Mungu anayehukumu hadi watoto mbona kazidiwa morality na serikali yetu ambayo haiwezi kumfunga mtoto?
 
Kwani kuna mahali ametajwa mzungu?
By using cultural and geographical kwa kuangalia mazingira ya watu waliokua wanatajwa kwenye biblia tunaweza kujua ni race gani, mfano taifa pendwa la Mungu ambalo kasema ni israel, watu waishio israel ni weupe

Na pia kupitia ile laana aliyopewa ham na nuhu kuwa kizazi chake kitakua cheusi, tafsiri yake ni kwamba hakukua na mweusi kipindi hicho, watu wote walikua weupe
 
Bible is an african book,Bible is not 100% true and valid,Bible is incomplete due to missing parrables and texts especially doctrines of enoch together with summerian texts,Bible parables were translated without the presence of the writer.

The honest truth is Bible is a code showing how an african was created by Anu and how his destiny will end or continue to a forth dimension
 
Naombeni majibu katika Biblia ni wapi ambapo mtu mweusi anatajwa chanzo chake maana tangu Adamu hadi Yesu hakuna mahala pametajwa mtu mweusi, sasa huu ujasiri wa kupigania pepo sisi tunautoa wapi?
Kwan wapi kwenye biblia wameandika MTU MWEUPE?Kuanzia ADAM hd YESU
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
We umejuaje kuwa kusin mwa dunia ni ethiopia?...na wapi waliandika huyo mtoto ni mweusi?suppose HAIN alikuwa WHITE..kwa hyo baada ya laana ndo akazaa mweusi?we inakuingia akilin kbsa hyo?
 
Mtu mweusi ametokea hapa[emoji116]
Mwanzo 9:3?21-25
Mwanzo 10:6
Sisi ni zao la Hamu ambaye alilaaniwa na baba yake Nuhu.
Hamu alipokuja kusini mwa Dunia (Ethiopia) Kushi alipozaa watoto ikaonekana ajabu mtoto mweusi akazaliwa.
Nuhu alimtabiria Hamu(aliyezaa watoto weusi) kuwa mtumwa daima.
In short Waafrika tumelaaniwa , am sorry.
Siku tukiwa kama US, wao US watakuwa kama mbinguni.
Ni hisia au ushahidi?
 
biblia toka mwanzo wake hadi mwisho imetafuta channel za kuonyesha kuzakiwa kwa taifa la israel na namna gani lilivyo super,sababu toka mwanzo zimeachwa historia za vizazi vingine kibao ila vimebebwa vile ambavyo channel yake inakuja kumleta yakobo(israel)...na mna na taifa la watoto wake lilivyozaliwa huko misri,baada ya hapo hakuna mahala tena pameandikwa kuhusu mataifa mengine.

ukisema ni kwa mtoto wa nuhu,ni kivipi alikua mweusi wakati watoto wote walizaliwa na mama mmoja na baba mmoja?


ukwelini kwamba tunajipendekeza tu.....kama kuna mbingu basi haituhusu watu weusi sababu hakuna mahala tumetajwa kuwa na maunganiko na mungu,hata ambapo nchi za afrika zimetajwa basi ni za mataifa ya waarabu ambao wanafanana pakubwa na hao wayahudi na wana historia zakufanana.
Unaposema tunajipendekeza ayubu katika Bible amesema "ngozi yangu ni nyeusi lakini yanitoka" how watu weusi tunajipendekeza? Selemani katika wimbo ulio bora kasema "mimi ni mweusi lakini ninao uzuri " Hata misri unayofikiri ni ya waarabu farao ni mweusi tafuta mwili wake utaamini maana hajazikwa mpaka leo upo.
 
Back
Top Bottom