Ni wapi kwenye Biblia inataja asili ya mtu mweusi?

Watu weusi ndo project Adam, ambao bado tunasubiri ukombozi wa Mungu
 
Mimi ninachojua ni kwamba YESU kristo ameniokoa kutoka dhambini!.

Mambo ya rangi ya ngozi yangu hayatonisaidia chochote!!


AHSANTE MUNGU WANGU KWA KUMTOA MWANAO WA PEKEE YESU KRISTO AKAFA KWA AJILI YANGU[emoji120]
 
Ni hisia au ushahidi?
Kama ushahidi huo wa maandiko haukutoshi unataka nini?
Biblia haijaandika vitu vingi. Ukienda kwa wataalamu watakuchambulia hilo jambo.
Wengine wanasema weusi wa Mwafrika umetokana na hali ya hewa (joto) la bara hili. No, je, Mrusi akiishi Tanzania kizazi chake kitabadilika na kuwa black?
Je, mbongo akiishi Switzerland kizazi chake kitabadilika?
 
selemani tena, kwenye wimbo ulio bora huo huo anasifia weupe,usimuamini selemani hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…