Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

Lemaa naye, hivi hata kama ni kweli ndivyo ethics zilivyo hivyo? Confidentiality maana yake ni nini? Je bedroom matters nazo anasema hivi hivi? Bora Mwijaaku kuliko huyu jamaa.
 
Lakini magaidi wa nchi za wengine, huwezi ona Diplomats wanaenda kwenye kesi zao[emoji1]

UTAFANYAJE UGAIDI BILA MILIPUKO? HAKUNA HATA GRENADE MOJA LA USHAHIDI LILILOONESHA MAHAKAMANI ! SASA HIVYO VITUO VITALIPULIWA NA NINI? HAKUNA HATA SHOKA WALA CHAIN SAW ZILIZOLETWA KAMA USHAHIDI WA KUKATIA HIYO MITI YA KUTANDAZA BARABARANI, SASA HAYO MAGOGO YANGEKATWA NA NINI?
 
Yaani chadema yenye Mbunge 1 wa kuchaguliwa wanegotiate power na CCM??

Bilicanas itarudi vipi wakati pale kuna Rita tower??
 
Jitahidi kuwa mwanaume mtu mwenye msimamo.
Unaweza ukanya kwenye meza na ukasema ni choo kwa kuwa tu una msimamo.

Tulimpinga Dikteta Magufuli kwa kwa kuwa alikuwa anaipeleka Nchi pabaya. Amekuja Samia anafanya vizuri, unataka niendelee kupinga Serikali tu.

Nyie mlipaswa kumshauri Mbowe atulie kwanza aangalie staili ya Samia ndipo aanze mikakati ya kujenga chama chake. Hatuwezi kuunga mkono UJINGA wa Mbowe wa kujifanya anaitaka Katiba Mpya kuliko watanzania wengine wakati yeye mwenyewe ndiye alikuwa mmoja wa waliovuruga upatikanaji wa Katiba mwaka 2014 wakati wa Bunge la Samuel Sitta
 
Bata mzinga nimeaanisha Lema mbona anaudhuria space
 
Lema nae aache mipasho....yaani sometimes nasikitika chadema kuwa na mtu wa sampuli hii....siasa zake zimepitwa na wakati.
Ila siasa za Kibajaji, Babu Tale na Msukuma ndo zimepamba moto
 
Bata mzinga nimeaanisha Lema mbona anaudhuria space
Huo ujinga utauacha lini?Aliongeana na Mbowe kwenye nini?Na saa ngapi?
Unafikiri habari za mbege ukileta hapa watu hawataacha kujiuliza?
 
naona utoto unaendelea..

Lema sidhani kama yuko sawa kichwani..
 
Reactions: Tui
Kumbe?
 
Hizi rushwa hizi! Naona mwami ameishanasa
 
Samia ni shetani lucifer kwa dhambi anayofanya ya kumtesa mbowe na walinzi atakufa tu maana kisasi cha Mungu hakina kipimo aendelee tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…