Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.

Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.

- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote

- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa

- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)

- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.

Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.

Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.

Source.Godbless Lema jana
Kule Zanzibar maneno kama haya wanaita drip yaani zile anazotundikiwa mgonjwa aliyekitandani walau apate nafuu
 
Hii dhambi ya kumuweka Mbowe gerezani wakati ikijulikana wazi hana hatia yoyote, itamsumbua sana Samia na utawala wake.

Hata afanye jema lipi, hili la Mbowe ni doa kubwa katika utawala wake..

Tulimsema sana JPM hapahapa JF na utawala wake usio wa haki, utawala wa mabavu wa kuteka-teka watu na kuuwa watu ovyo, na March 17 Mwaka 2021 MUNGU akajibu, tulirudi kati na kuanza upya..

Hili la Mbowe kuwekwa jela pasipo haki halitoiacha hii serikali salama..

MUNGU hadhihakiwi kwa namna yoyote ile hata mara moja..

Ee Mwenyezi MUNGU, ni wakati wa kutenda sasa.

Amina
 
Hii dhambi ya kumuweka Mbowe gerezani wakati ikijulikana wazi hana hatia yoyote, itamsumbua sana Samia na utawala wake.

Hata afanye jema lipi, hili la Mbowe ni doa kubwa katika utawala wake..

Tulimsema sana JPM hapahapa JF na utawala wake usio wa haki, utawala wa mabavu wa kuteka-teka watu na kuuwa watu ovyo, na March 17 Mwaka 2021 MUNGU akajibu, tulirudi kati na kuanza upya..

Hili la Mbowe kuwekwa jela pasipo haki halitoiacha hii serikali salama..

MUNGU hadhihakiwi kwa namna yoyote ile hata mara moja..

Ee Mwenyezi MUNGU, ni wakati wa kutenda sasa.
Dua la kuku tena broiler 😂😂😂😂😂😂
 
Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.

Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.

- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote

- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa

- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)

- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.

Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.

Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.

Source.Godbless Lema jana
Hivi huwa ZVIP kama Mbowe alienda gerezani wanapewa simu kuongea na ndugu?

Au kuna utaratibu huo kwa wafungwa wote.
 
Taasisi ambayo haina Siri, Yan wao kila kitu ni public Tu

Jambo la pili hayo mambo yote ambayo lema anasema huyo waziri kayasema mbona ni vitu ambavyo havimwadhiri rais Kwa Aina yoyote?

Wabunge covid rais akiamua hawatoki, katiba mpya rais akiamua haifanyiki

So I'm very sure hizo ni story za kutungwa
Havimuathiri wakati juzi mmeenda kutembeza bakuli na kupata 500£ kwa kusema mna demokrasia,,,na viuno mkakata airport kumpokea SSH
 
Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
Basi Lema si wa mchezo.
waliandaa mazingira na Magu akafa kweli.
Mmechukua hatua gani?
 
Kumbe wewe una taarifa zako. Taarifa za daktari ni tofauti na unayosema...je watoa wapi hoja zako?

Huoni kwamba wahatarisha usalama wa wengine?

Au ID yako fake inakupa kiburi kutapika tu hapa. Binafsi nilimpenda sana Magufuli kama Rais wangu, sasa ukisema aliuawa unanipa hasira.



Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
 
Hivi huwa ZVIP kama Mbowe alienda gerezani wanapewa simu kuongea na ndugu?

Au kuna utaratibu huo kwa wafungwa wote.
Mbowe ni VIP, international figure,akifia gerezani serikali itatokwa na kamasi kujibu, Ila wewe ukifia gerezani wanafukia tu
 
Kumbe wewe una taarifa zako. Taarifa za daktari ni tofauti na unayosema...je watoa wapi hoja zako?

Huoni kwamba wahatarisha usalama wa wengine?

Au ID yako fake inakupa kiburi kutapika tu hapa. Binafsi nilimpenda sana Magufuli kama Rais wangu, sasa ukisema aliuawa unanipa hasira.
Na we kufa[emoji1]
 
Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.

Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.

- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote

- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa

- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)

- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.

Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.

Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.

Source.Godbless Lema jana
Bado unawaamini hawa wanasiasa uchawara tu.. Sawa kusoma hamsomi, lkn hata picha pia hamuoni!!! Pole sana kijana. Hapa unaandaliwa mkakati fulani, na nyumbu wanaandaliwa kisaikolojia mapema.

images (1).jpeg


download.jpeg


images (3).jpeg
 
Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.

Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.

- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote

- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa

- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)

- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.

Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.

Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.

Source.Godbless Lema jana
Duuh kumbe??
 
Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.

Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.

- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote

- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa

- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)

- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.

Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.

Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.

Source.Godbless Lema jana
Itakuwa mzee Mkuchika
 
Back
Top Bottom