Asiye na wizara maalum. Kumbe hii kesi na wao hawalali usingizi kama sisi tu.Itakuwa mzee Mkuchika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiye na wizara maalum. Kumbe hii kesi na wao hawalali usingizi kama sisi tu.Itakuwa mzee Mkuchika
YapAsiye na wizara maalum. Kumbe hii kesi na wao hawalali usingizi kama sisi tu.
Yanadhidi kudhihirika. Uwepo wake mbowe na kukataa masharti yote kunawatia mawazo hawana raha.Mbowe hana kosa kweli hata kdg
Wacha weee.. naona mtoto wa kiume unampa sifa zisizomstahili mwanaume mwenzio huku we mwenyew ukijinyima sifa hizo. Nilizani mkewe ndo angekuwa mbele kumsifu na kumpambania mumewe, kumbe na wewe ni mmoja wa watoa sifa za mume wa mtu.. hongera.Mbowe ni VIP, international figure,akifia gerezani serikali itatokwa na kamasi kujibu, Ila wewe ukifia gerezani wanafukia tu
Mbowe atatolewa na MUNGU wa mbinguniYanadhidi kudhihirika. Uwepo wake mbowe na kukataa masharti yote kunawatia mawazo hawana raha.
Furaha yao ilikuwa baada ya kumpa masharti magumu waone akikubali.
Mungu amesimama upande wa haki.
AminaMbowe atatolewa na MUNGU wa mbinguni
Rahisisha lugha kidogo na sisi bongo lala tuambukie kitu.Umesahau baba riz alipigiwa na mzee wa gari nyekundu wakati ule
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ndiyo ukweliAmina
Ulimsikia Mangula alichosema wakati wa maandalizi ya kikao cha wadau wa siasa?? acha kulala usingizi we lumumba kama hujui kitu kaa kimya.Kuna nyumbu wataamini haya maneno.
Yatakuja kunengua eti gaidi kapiga simu America akiwa na hasira Sana.
Haya magereza yetu kumbe siyo jela.
Mkuu huu ujumbe wako ukiwa channelled kwenye vyombo vya usalama utakuwa tayari kutoa ushahidi?Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
Kwenye hili unamuonea Lema.Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
Mzee wa gari nyekundu=liumba amatusRahisisha lugha kidogo na sisi bongo lala tuambukie kitu.
Japo nabii zake zilitimia kwaLema siyo wa kumwamini sana!
Zitto Kabwe siyo Waziri ni KC.
Mbowe haogopi, CHADEMA haiogopi mlichopanga wakati mkibumba. Mungu wa haki atatatuwa yote.Liacheni lifungwe gaidi
itasaidia nini?...Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.
Wewe unayeleta mambo haya ya kitoto hapa nawe tunakuona ni mtoto vilevile. Hivi huwezi kuchanganya na akili yako?Hope mko poa wakuu, hii habari sio maneno yangu, ni siri iliyotobolewa na mjumbe wa kamati kuu ya Chadema, Godbless Lema.
Lema amesema Kuna waziri ndani ya serikali ya SSH, alienda gerezani kumtembelea Mbowe, waziri huyo alifanya kikao na Mbowe gerezani, na alimshawishi vitu vifatavyo.
- mama hana shida na Mbowe, na Yuko tiyari kumrudishia vitu vyake vyote alivyonyanganywa Kama Billicanas, pesa zake alizonyanganywa na Mali zote
- Lema ameongeza kuwa SSH, hataki stress so Mbowe aachane kabisa na wabunge wa Covid-19, hasiwaongelee kabisa
- mwisho achane kabisa na katiba mpya, yaani Hasilizungumzie ilo la Katiba mpya, na mbeleni wangeweza kukaa mezani na kutengeneza katiba ya kufanya kazi kwa pamoja( hapa walitaka wa negotiate Power)
- Lema ameongeza kuwa Mbowe alimpigia simu akiwa na hasira Sana, na alikataa mapendekezo yote yaliyoletwa na huyo waziri, na alimjibu waziri huyo kuwa Yuko tayari kufia magereza lakini hawezi negotiate maswala ya haki.
Nimeshtuka Sana kusikia maneno ya Lema, yaani sisi tunaumia na Mbowe kuwa gerezani, lakini Mbowe ata haogopi kitu, na ni wazi serikali wanachanganyikiwa huyu mtu huu msimamo mkali anautoa wapi.
Finally Ni waziri gani huyo aliyeenda kumrubuni Mbowe anegotiate na watawala.
Source.Godbless Lema jana
Space ya janaDuuh kumbe??