Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
- Thread starter
- #81
Aisee kweli mie niliwaza kina MwiguluItakuwa mzee Mkuchika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kweli mie niliwaza kina MwiguluItakuwa mzee Mkuchika
Yaani Mbowe akiwaambia wampe Billions awe kimya watampa[emoji1]Yote yanawezekana. Lakini Kunegotiate maswala ya haki inauma sana. Kwa mtu kama mbowe hana njaa wangekuwa wale wengine chaaa!!
Nje wanafanya don't care Ila ndani inawaumaAsiye na wizara maalum. Kumbe hii kesi na wao hawalali usingizi kama sisi tu.
Mawazo makari sanaYanadhidi kudhihirika. Uwepo wake mbowe na kukataa masharti yote kunawatia mawazo hawana raha.
Furaha yao ilikuwa baada ya kumpa masharti magumu waone akikubali.
Mungu amesimama upande wa haki.
Do you know who am I?Wacha weee.. naona mtoto wa kiume unampa sifa zisizomstahili mwanaume mwenzio huku we mwenyew ukijinyima sifa hizo. Nilizani mkewe ndo angekuwa mbele kumsifu na kumpambania mumewe, kumbe na wewe ni mmoja wa watoa sifa za mume wa mtu.. hongera.
NiniUmesahau baba riz alipigiwa na mzee wa gari nyekundu wakati ule
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
CoolKuna nyumbu wataamini haya maneno.
Yatakuja kunengua eti gaidi kapiga simu America akiwa na hasira Sana.
Haya magereza yetu kumbe siyo jela.
AlisemajeUlimsikia Mangula alichosema wakati wa maandalizi ya kikao cha wadau wa siasa?? acha kulala usingizi we lumumba kama hujui kitu kaa kimya.
Hii kesi inamtesa Mbowe na wenzake lakini inawatesa pia walioitunga.
Kuifuta ngumu kuiamua ngumu pia.
Kwa nini hamkumdhibiti? Manyoko nyie.Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
No.. and i don't need to know.Do you know who am I?
Hawezi kumtuma mtu ambaye hana busara na hekimaAisee kweli mie niliwaza kina Mwigulu
Lione Stuxnet limelike hii comment ya hovyooAcheni upotoshaji ,nchi za wengine gaidi anafanyiwa majaribio ya silaha hatari lakini tushukuru Tanzania tunapata walau muda wa kumsikiliza
Mbona mna hasira wakati anaeumia ni mwingine?!Liacheni lifungwe gaidi
Ushahidi huo unao? Kwa nini usiende kuisaidia serikali katika Hilo?Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
😀Oooh..... Machi Mkonge