Ni Waziri gani alikwenda gerezani kumshawishi Freeman Mbowe?

Kule Zanzibar maneno kama haya wanaita drip yaani zile anazotundikiwa mgonjwa aliyekitandani walau apate nafuu
 

Amina
 
Dua la kuku tena broiler 😂😂😂😂😂😂
 
Hivi huwa ZVIP kama Mbowe alienda gerezani wanapewa simu kuongea na ndugu?

Au kuna utaratibu huo kwa wafungwa wote.
 
Havimuathiri wakati juzi mmeenda kutembeza bakuli na kupata 500£ kwa kusema mna demokrasia,,,na viuno mkakata airport kumpokea SSH
 
Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
Basi Lema si wa mchezo.
waliandaa mazingira na Magu akafa kweli.
Mmechukua hatua gani?
 
Kumbe wewe una taarifa zako. Taarifa za daktari ni tofauti na unayosema...je watoa wapi hoja zako?

Huoni kwamba wahatarisha usalama wa wengine?

Au ID yako fake inakupa kiburi kutapika tu hapa. Binafsi nilimpenda sana Magufuli kama Rais wangu, sasa ukisema aliuawa unanipa hasira.



Ni huyu huyu lema alijifanya kutabiri kifo cha Dkt Magufuli kumbe wana magenge ya kutaka kumuua yaani waliandaa mazingira kwa kutoa kauli
Kumbe walipanga mipango. Shame on them
 
Hivi huwa ZVIP kama Mbowe alienda gerezani wanapewa simu kuongea na ndugu?

Au kuna utaratibu huo kwa wafungwa wote.
Mbowe ni VIP, international figure,akifia gerezani serikali itatokwa na kamasi kujibu, Ila wewe ukifia gerezani wanafukia tu
 
Na we kufa[emoji1]
 
Bado unawaamini hawa wanasiasa uchawara tu.. Sawa kusoma hamsomi, lkn hata picha pia hamuoni!!! Pole sana kijana. Hapa unaandaliwa mkakati fulani, na nyumbu wanaandaliwa kisaikolojia mapema.





 
Duuh kumbe??
 
Itakuwa mzee Mkuchika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…