mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Kwani wachaga ni wezi mpaka mseme watauiba mlima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nchi uhuru nao ni tatizo
ShichakoroIshi nyi shite kapsa😁
Athubutu Kilimanjaro!!! Pale Kuna moto wa kufa mtu!akili zako zina fanana na raisi wako. kwa hiyo kila kabila unataka waondolewe.na wasukuma waondolewa kanda ya ziwa wapewe makampuni ya kuchimba madini au
Tena mlinde haswaaa, mtahakishwa bila kupendaa.Tupo...
Tumeanza kulinda mipaka tayari...
Hali siyo shwari[emoji1787]
Shilochindi😁Shichakoro
Shilochindi😁
Kule unaenda kwa passport!Kwanini wasihamie Kizimkazi?
Mkiambiwa ukweli msipende kuwa wabishi, mkoa wetu hauna waha!🤣🤣🤣Naona umeamua kutu'attack direct sasa..
Si muungano?Kule unaenda kwa passport!
Atakaeamua wachagga wahame kilimanjaro atakua ametusaidia sana
Kutupatia sababu ya kudai TAIFA letu tukufu
Tumekua tukitamani muda mrefu sana ila tulikosa pakuanzia
😀😀😀Sawa..Mkiambiwa ukweli msipende kuwa wabishi, mkoa wetu hauna waha!
Kule Zenj yakhe, mambo ya Muungano yako huku.Si muungano?
Kaka mkubwa hakuna ukweli hapo, ukitoa pombe hakuna kabila la wachaga , wachaga ni pombe na nyama, pombe ni wachaga na ndio utamaduni wetu huo.Mkiambiwa ukweli msipende kuwa wabishi, mkoa wetu hauna waha!
Wazanzibar ni watu wa hovyo snKule Zenj yakhe, mambo ya Muungano yako huku.