Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Hao wachaga wanaishi juu ya huo mlima ?
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Wewe ni KIAZI
 
Wamasai nao bwana wametunza mishuka, mipanga na shanga wakasahau kutunza na ndumba za wazee wao ....huyo anae wahamisha wangempiga chuma cha kimasai tukafunga bendera nusu mligoti fasta sasa wanalia lia tu kifara.
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Naunga mkono hoja
Baada ya hapo
Pia wazanzibar wote wahamishishiwe kilindi

kile kibaki kisiwa Cha utalii tu
Waswahili wanakichafua tu 😀
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Hilo ni jambo zuri sana.
Tatizo ni fidia ambayo serikali haiwezi kumudu maana kwa maendeleo yao kulivyo mhhh oystabay ndogo, lakini pia serikali imefuta kata moja mkoani humo wilayani rombo kata ya motamburu.
 
Natokea Rombo, Kilimanjaro. Walishakuja kutaka kutihamisha zaidi ya mara moja, mipango inashindikana

Ila naona mmeamua kwa bidding aasa kutuhamishia same
 
Back
Top Bottom