Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wachaga wangekuwa walevi wasingekuwa na maendeleoKaka mkubwa hakuna ukweli hapo, ukitoa pombe hakuna kabila la wachaga , wachaga ni pombe na nyama, pombe ni wachanga na ndio utamaduni wetu huo.
Hapo sasa, pombe ni mbege(mbeke), sasa Msomera hakuna ndizi(ndisi), mtakufa nyaa!Kaka mkubwa hakuna ukweli hapo, ukitoa pombe hakuna kabila la wachaga , wachaga ni pombe na nyama, pombe ni wachanga na ndio utamaduni wetu huo.
🤣🤣🤣Mmechoka kula ugali mlenda kwa amani sio?
Hiyoo kite cha warumu ,ngileka😁😁😁😁Hapo sasa, pombe ni mbege(mbeke), sasa msomera hakuna ndizi(ndisi), mtakufa nyaa!
Hao wachaga wanaishi juu ya huo mlima ?View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Tatizo ile mbegu ina ubinafsi sana labda waende mafia huko.Wakimaliza Kilimanjaro tutunze mji mkongwe Zenji tuwahamishie Tunduru kwa maslahi mapana ya Muungano [emoji23]
Wewe ni KIAZIView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Pombe ndio asili ,walevi wapo hilo sijakataa ila haibadili kiti kuhusu mtazamo wa mchaga kuhusu pombe .Wachaga wangekuwa walevi wasingekuwa na maendeleo
Mimi sina tatizo na hilo!Wewe ni KIAZI
Safi sana tupelekwe jangwani na mashosti waarabu aka wajomba waje huku tu! Ziko nguruwe zitakenua mimeno na kuimba anaupiga mwingiMi naona tuhamishwe nchi mzima tu.
Watu wa oysterbay na kigamboni wahamishwe wanaharibu bahariWatu wa Meru pia wahamishwe mana kuna mlima meru pale.
Watu wa amboni wahamishwe mana kuna mpango pale.
Watu wa Gambushi wahame mana kuna mji wa kitalii usiku pale.
Mkuu umekula bangi ya wapi.
Hotep mkushi💪Wachaga watatangaza Secession kwasababu Chaga Republic ina mipaka yake na Bendera yao
Naunga mkono hojaView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Hilo ni jambo zuri sana.View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.