Unaimbwa kama ifuatavyo.
¶ Naona muda unazidi kwenda baby, na masiku yanakatika baby, ningejua kitu unachotaka kunambiaa, Niambieee... Niambiee mpenzi
Basi niambie... Tell me w... Me naomba niambie... Tell me w...Niambieee, niambie mpenzi ¶
Ni wimbo wa kitambo HV, So naomba msaada nani kaimba na waitwaje..
Asante..
 
Na Mimi nautaka huu unaoimbwa hivi
let's go dance uu laalalaa
Let's go dance uu laalalaani throwback track ya Jamaa mweusi hivi wapo mtaani weengi
 
Nisaidieni kutafuta wimbo unaoitwa WAISRAEL WALIPOTOKA MISRI umeimbwa na SEGEREA SDA CHOIR
 
Jamani natafuta wimbo wa zamani kidogo unaitwa 'tulia wangu mpenzi' hapo nyuma ulikuwa unapigwa sana redio tanzania. Baadhi ya mistari ni' ni wewe uwa la rohoni mwangu, taa nzuri mama ya watoto wangu, tulia wangu mpnz tulia, tulia nami nipate tulia..
Natanguliza shukrani.
 
Kama kuna mtu ana nyimbo ya ally star unaimbwa. Mdogo wa kimo unamambo wewe unambo wewe

Nimeshaamini kitu kizuli hakikosi kasoro..mama mpenda umbea kala hasara huyo...anitumie WhatsApp. 0653400400
 
sina demu kama unavyoniona mpenzi ndo maana nimekuchagua wewe ukidhi yangu mahitaji sio kwamba sitaki demu ila sijamuona mwenye sifa uzuri ulionao wewe malaika wangu.

mwenye kujua jina la msanii wa hyo ngoma anisaidie plz
 
B BOY FT STOPER SINA DEMU
sina demu kama unavyoniona mpenzi ndo maana nimekuchagua wewe ukidhi yangu mahitaji sio kwamba sitaki demu ila sijamuona mwenye sifa uzuri ulionao wewe malaika wangu.

mwenye kujua jina la msanii wa hyo ngoma anisaidie plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…