Tafuta kwenye youtube upo.Sijui hata wameimba kina nani mkuu ila tu n lugha ya lingala..sema zipo nyimbo mbili za Monica na zote n lingala
Vipi huo ulioimbwa na lokasa m'bongo unapatikana mkuu?
Nimeshakutumia mkuukm una wimbo wa Extra bongo-3x3 naomba unitumie kwenye namba 0717552827.
Naxhukulu sana sanaNimeshakutumia mkuu
Ahsante mkuu""
Hebu check hiyo link mkuu
Je, ushaupata wimbo wa Extra bongo 3x3?Natafuta wimbo wa extra bongo 3 x 3
Nadhani ni Sam MangwanaAhsante mkuu""
Kuna ingine inaitwa Maria tebo tebora sema nshasahau waimbaji
Na chelea man msela
Ni kweli wimbo wake Sam Mangwana, huu Wimbo unapatika you tube.Nadhani ni Sam Mangwana
Youtube karibu kila kitu kinapatinaNi kweli wimbo wake Sam Mangwana, huu Wimbo unapatika you tube.
Wanaitwa born crew wale jamaa...ndo waliimba wimbo unaitwa 'huyu jamaa' feat daz babaNshauliziaga sikupata. Ni jamaa aitwa Easy Mchwa kama sijakosea
Anaitwa Wanne star wimbo unaitwa asili ya mwafrika...upo YouTubepleaz wakuu naomba mnisaidie wimbo flani hivi unaanza hivi"twendee twendee tukatambike mizimu" kwenye video wamevaa kijadi yaan ngozi ya ng'ombe pia wanacheza na moto,,,aliyeimba wimbo huo tafadhal mnitajie jina lake
Bado mkuu, niliwahi kuwa nao kwa PC niliudownload Eastafrican tube, sasa ile PC nshauza, nilijaribu kwa PC nyingine kudownload ikashindikana sijui mtandao umekuwaje ule.Je, ushaupata wimbo wa Extra bongo 3x3?