Dah, Huyu jamaa ni google ndogo aisee nimefanikiwa kupata nyimbo nyingi kutoka kwake.

Mkuu natanguliza shukrani nyingi sana kwako na mkuu KIOO aisee mmenisaidia sana wakuu.

Much respekt kwenu wakuu.

👊🏽👊🏽👊🏽

Okay fine ila ungefanya kushea na hapa jukwaani kwa niaba ya wadau pia.

Tuko pamoja sio.
 
 

Attachments

Dah, Huyu jamaa ni google ndogo aisee nimefanikiwa kupata nyimbo nyingi kutoka kwake.

Mkuu natanguliza shukrani nyingi sana kwako na mkuu KIOO aisee mmenisaidia sana wakuu.

Much respekt kwenu wakuu.

[emoji1420][emoji1420][emoji1420]
sasa na wewe umezipata kwa nini usiweke hapa tushushe na wengine
 
Kuna wimbo mmoja hivi kaimba msanii mwenye asili ya Zaire kama sijakosea; kuna baadhi ya sehemu anaimba .......Lusongi nyoso, lusongi Kenya.. Hamuwhela homabee! Halafu anataja miji na nchi kama Kenya, Zimbabwe, dar es salaam, Nairobi, Cameroon nk. Nautafuta sana.
 
Natafuta wimbo wa Sophia uliimbwa na Bushoke.. nakumbuka mara ya mwisho niliusikia 2005..
 
Mimi natafuta wimbo wa masanja mkandamizaji unaitwa Tulia tulia
 
Hbr natafuta wimbo wa ddc au juwata, unaimbwa sijui, nahodha naongoza......, na mwingine unakibwagizo, miba inachoma si rahisi kutoka ndege samaki na miti usitumie kwa pupa... mwenye kuujua iweke hapa
 
Natafuta wimbo ulio imbwa na Deo mwanambilimbi lakini Bahati mbaya siujui jina lake ila maneno yake yanasema Kazi Yangu ni Dereva daladala/taxi ni lazima nifikishe hesabu ya bosi. Kazi Yangu ni kufagia barabara ni lazima ....
 
Hbr natafuta wimbo wa ddc au juwata, unaimbwa sijui, nahodha naongoza......, na mwingine unakibwagizo, miba inachoma si rahisi kutoka ndege samaki na miti usitumie kwa pupa... mwenye kuujua iweke hapa
Nenda you tube andika, bure bado wasumbuka, utakuja.
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…