ndio huu nlikuw nautafuta asante sana kk sema zipo mbili kuna rmx yake ila verse ni hizo hizo kasoro beat pia kma una wimbo wa viraka f.t Q jay unaitwa niambie ukweli na wa steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu
Sio huo ila nimeupata kuna mdau kautuma ila nasukuru kwa ushirikiano naomba kma una wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea na wimbo wa steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu pia wimbo wa hk f.t Ester wasira unaitwa umerudia tenaNi huu au...?
Nina Mixtape ya Xplastaz inaitwa Shule ilitoka wakati Faza Nelly ameshafariki ntaweka track zake baadae
Nina Mixtape ya Xplastaz inaitwa Shule ilitoka wakati Faza Nelly ameshafariki ntaweka track zake baadae
Huu wimbo umeimbwa na "Kwaya Ya Vijana KKKT Mabibo - Mwanadamu nimekuumba" ingia YouTube utaipataMimi nautafuta wimbo fulani wa gospel uliimbwa na kwaya Fulani kitambo sana. Nmesahau jina lake na Nina la kwaya yenyewe lakini nakumbuka mistari take baadhi. Na mistari yenyewe ni ifuatayo: Nimekuleta chini nikakupa kila kitu lakini umesahau kwamba Mimi ni muumba wako. Ntashukuru Nikiupata.
Ngoma ya afande sele 'Acha kupiga mayowe remix'
Na ile nyingine yupo afande sele, ferouz, hussein machozi na na jamaa mwingine sikumbuki jina lake inaitwa 'Anza na kura'
wakuu mwenye wimbo wa suma G vituko uswahilin aumwage hapa tu enjoy enzi
Huu wimbo umeimbwa na "Kwaya Ya Vijana KKKT Mabibo - Mwanadamu nimekuumba" ingia YouTube utaipata
KIOO NAKUSHUKURU SANA KWA KWELI NIMEAMINI JAMII FORUM NI JUKWAA LA KIJANJA.
HIZI NYIMBO NILISHAZIRAFUTA KWA WABURN CD NAKUTA NI VITOTO VYA KUANZIA MIAKA YA 2000 HAVIJUI NYIMBO VINANIAMBIA NAVITAJIA NYIMBO ZA UONGO.
Audio ingia google tafuta kwa jina hilo hilo utaupata katika mp 3 ambao sio remixZILIZOPO YOU TUBE NI REMIX TENA ZA VIDEO SIO NZURI KAMA ZILE ORIGINAL WAMEBADILISHA KILA KITU MPAKA BEAT.
SHUKRANI SANA MKUU JAPO SIO MIMI NILIOMBA ALIIMBA MWINGINE ILA HATA MIMI NILIKUA NINA SHIDA NAO.Audio ingia google tafuta kwa jina hilo hilo utaupata katika mp 3 ambao sio remix
Saigon huyoMkuu Kuna hizi nyimbo KALI sana za HIPHOP naziomba mkuu nimezitafuta bila mafanikio.
1.Black rhyno_Niskize me
2.Black rhyno_Nini mnataka mazee (mistari).
3.Hashim_Kibongobongo au kinyamwezi
4.Hashim_Mama pili ana watoto wawili wakwanza anaitwa teda wa pili ataitwa nani?? Aaah rudia...!
Pamoja sana mkuu
Wakuu kuna huu wimbo haujawahi kupatikana bado!???
Hongera-mashabiki
Noma sana babaaaa.Saigon huyo