Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 6,607
- 14,076
Nakupenda sana hip hop zaidi ya machizi wangu wa kitaa, acha nnao kesha nao baa
Pole kwa yaliyokukuta, amini mi ni mteule machozi nitakufuta dear
We ndiyo urithi tulioachiwa na bro PAC na BIGGY, njoo tuwe pamoja kama "ino mic na ziggy"
Achana na mabishoo wanaokutongoza Leo halafu wanakuacha kesho......
Hii ngoma baada ya Madee kuimba hip hop haiuzi.
Pole kwa yaliyokukuta, amini mi ni mteule machozi nitakufuta dear
We ndiyo urithi tulioachiwa na bro PAC na BIGGY, njoo tuwe pamoja kama "ino mic na ziggy"
Achana na mabishoo wanaokutongoza Leo halafu wanakuacha kesho......
Hii ngoma baada ya Madee kuimba hip hop haiuzi.