Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna bongo Flava ya kitambo chorus kapiga juma nature wanasema Mtanganyika mtoto wa Africa kuwa na machungu life imebadilika
 
Kamanda tunashukuru sana kwa kushusha vitu ebu nisaidie Jos Mtambo-kizazaa pamoja na Big Dog Pose-kitambo kidogo(kitambo kidogo nilikua nanyi kitambo kidogo hamtoniona)
 
Kamanda tunashukuru sana kwa kushusha vitu ebu nisaidie Jos Mtambo-kizazaa pamoja na Big Dog Pose-kitambo kidogo(kitambo kidogo nilikua nanyi kitambo kidogo hamtoniona)
 
Mkuu KIOO naomba kama unayo Kisa Cha Mpemba by Twanga Pepeta uipandishe hapa kaka.
 

Attachments

Attachments


Mkuu KIOO ukishirikiana na bwana GWANKAJA tafadhali naomba hizi nyundo.

1.Ay ft Mwana FA_Habari ndo hiyo.

2.Balozi_Wengi walikuwepo sasa hivi wako wapi Balozi bado nipo ninapanda kwenye chati yeeahh.

Wakuu tafadhali naziomba.

Shukrani Wakuu.
 
Mkuu KIOO ukishirikiana na bwana GWANKAJA tafadhali naomba hizi nyundo.

1.Ay ft Mwana FA_Habari ndo hiyo.

2.Balozi_Wengi walikuwepo sasa hivi wako wapi Balozi bado nipo ninapanda kwenye chati yeeahh.

Wakuu tafadhali naziomba.

Shukrani Wakuu.
 

Attachments

Wakuu bado natafuta sana nyimbo ya Big dog pose-kitambo kidogo pamoja na Jos Mtambo-kizazaa(kithatha) nitashukuru sana nikipata hizi nyimbo
 
Ebhana eeh! Nilikuwa naitafuta nyimbo moja naikubali vibaya mno, yaani dakika chache zilizopita ndiyo nimeipata. Roho 7 jina la msanii, nakupenda hip hop ndiyo jina la ngoma.

Najitahidi sana kutosikiliza miziki, ila hip hop huwa inanipa changamoto sana.
 
Back
Top Bottom