"Neema" wa Diamond Sound (Dar es Salaam Kibinda Nkoi) waimbaji wakiwa akina Alain Mulumba Kashama,Richard Mangustino,Elly Chinyama,n.k
Mkuu vuvunduli umenikumbusha Silent Inn Mwenge jamaa yangu.I remember those good days.Namkumbuka pia mkali Adolph Mbinga ambaye alikuwa mmoja wa wanamuziki wazawa (Watanzania) wachache ndani ya bendi hiyo iliyokuwa imejaa Wazaire - tangu mwaka 2001 tulianza kuwaita Wakongo - kwakweli alituwakilisha vizuri.Dah nimeitafuta hii ngoma sijaipata.... hii ni enzi za Diamond International mwaka 1997 wanapiga Silent Inn Mwenge. Kuna ngoma ingine inaitwa Usiku wa Valentine...... katika wanamuziki ongezea jina la Adolph Mbinga
Shukrani sana Mkuu.👏👏
Mkuu nakumbuka niliinunua hii Album mwaka huo. Naikumbuka sababu Neema na Usiku wa Valentine ndo zilikuwa best ngoma. Na nakumbuka ndiyo ilikuwa bendi ilokuwa na wacongo wengi waipiga kama kina Defao,Koffi Olomide na wengine kipindi mtindo wa Ndombolo ya Solo ukiwa juu kabisa.Mkuu vuvunduli umenikumbusha Silent Inn Mwenge jamaa yangu.I remember those good days.Namkumbuka pia mkali Adolph Mbinga ambaye alikuwa mmoja wa wanamuziki wazawa (Watanzania) wachache ndani ya bendi hiyo iliyokuwa imejaa Wazaire - tangu mwaka 2001 tulianza kuwaita Wakongo - kwakweli alituwakilisha vizuri.
Raja Computer-BumbumbaHaya Haya wakuu leo TBT
Kuna wimbo flani hivi kama skosei Ni wa Kenya au Uganda
Baadhi ya mashairi yake Haya hapa.
**Bum bumbaa bubumbu bumba uwiiii...
Bum bumbaa bumba bumbaa baa aiyaa**
Hilo dude ni hatar tatizo silijui jina wala muimbaji.
Huwa linagongwa sana club
Wakuu emu fanyeni mautundu tuone.
ndiyo mkuuWakuu nisaidieni wimbo: Voice Mail wa Oten ft Hard Mad
Nimekutumia pm lakini wapi huo wimbo wa Musa ungekuwa nao kweli? chibalangunamchezoHakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.
Nime Ku pm bosi
Haya Haya wakuu leo TBT
Kuna wimbo flani hivi kama skosei Ni wa Kenya au Uganda
Baadhi ya mashairi yake Haya hapa.
**Bum bumbaa bubumbu bumba uwiiii...
Bum bumbaa bumba bumbaa baa aiyaa**
Hilo dude ni hatar tatizo silijui jina wala muimbaji.
Huwa linagongwa sana club
Wakuu emu fanyeni mautundu tuone.
Wadau naomba nyimbo hizi tafadhali sana sana.
"SIKUTAKA" OG version - Unique sisters
"LEKAMBUKE" - CAZ T WA KOMBA
"NIKUPE NINI MAMA" OG version - GK
"HAYA TWENDENI WOTE"- RC X- MASS SONG
Umetisha sana. Ningeomba utuwekee na wimbo wao hao Varda arts Jambo TanzaniaFeel The Vibes. When Music Was Music. 📯🎼🎶🎤🎷🎸🎹🎺🥁
Umetisha sana. Ningeomba utuwekee na wimbo wao hao Varda arts Jambo Tanzania
Ok ngoja mafaili yapekuliwe ikipatikana inshaalah itawekwaAsante ndugu,ila hii ni remix kuna Original version yake ambayo wako hao wadada peke yao,ni nzuri sana