vuvunduli
Senior Member
- Jan 15, 2012
- 164
- 125
Dah nimeitafuta hii ngoma sijaipata.... hii ni enzi za Diamond International mwaka 1997 wanapiga Silent Inn Mwenge. Kuna ngoma ingine inaitwa Usiku wa Valentine...... katika wanamuziki ongezea jina la Adolph Mbinga
"Neema" wa Diamond Sound (Dar es Salaam Kibinda Nkoi) waimbaji wakiwa akina Alain Mulumba Kashama,Richard Mangustino,Elly Chinyama,n.k