Kuna wimbo mmoja wa dini mwimbaji aliimba kilingala na kiswahili; sina uhakika unaitwaje!! Mwimbaji anaweza kuwa Rose Mhando au flora mbasha!!! Nitafutie ndugu yangu!!! Nimekwishautafuta sana wimbo huo bila mafanikio.
 
Habari wakuu

Tafadhali Naomba wimbo wa

Mr blue ft Q chief_Nipo nilikuepo na nitakuwepo.

Shukrani wakuu.




Gwankaja
Kioo
Idimi
 
Mkuu nisaidie wimbo wa Kikosi... Wanaimba "ukisanda unaacha game... mmeshindwa kuwakilisha mnaimbia mademu..."
 
Wakuu nisaidieni wimbo wa Kikosi...

Wanaimba "ukisanda unaacha game... mmeshindwa kuwakilisha mnaimbia mademu..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…