Bajuda
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 226
- 254
Mk
Shukrani
Mkuu nidomdoshee unanijua unaniskia ya mwana F.AKazi kwako
Shukrani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nidomdoshee unanijua unaniskia ya mwana F.AKazi kwako
Ni kweli bhana...Aksante
Lakini sio hii, baada ya kutafuta nimeweza kupata jna la wimbo ila mtandaoni siupat.
UNAITWA UMEONDOKA NI WA AFANDE SELE NA UMEMEONDOKA REMIX! PLEASE HELP ME
Jina la wimbo: Mwana dar Es salaamKuna ile ya Twanga inasound 'bora nibaki bachelaa' sijui inaitwaje.....pleaseee
Namba mwenye nyimbo hizo ndugu zangu
1.LEKAMBUKE BY CAZ T WA KOMBA
2.SIKUTAKA BY UNIQUE SISTERS SIO WALOIMBA NA DUDU BAYA
3.NIKUPE NINI MAMA BY GK SIYO ULE RMX
4.SIMULIZI ZA UFASAHA BY GANGWE MOBB FT SEKI
5. MWINGINE SIUFAHAMU JINA ILA NI WA LADY JD ALIIMBA KTK ALBAM YA KWANZA UNA MANENO HAYA (Ninachofanya ni kukupenda,milele yote nitakupenda,nakupenda I love youuuuuu!). Tafadhalini jamani
Naomba wiimbo wa Mchizi wangu remix
Mangwair weekend,, daz Nundaz barua
So what? We all know that.Analgesic ni dawa zinazoshusha homa na kuondoa maumivu,mfano paracetamol,aspirin na diclofenac...
Kuna member humu anatumia Id ya analgesic,kuna member mwingine kaomba kujua maana ya hilo neno.
Huyu hapa....mkuu nimekusaidia kukujibu maana ya analgesicSamahani aisee.
Ningependa kujua maana ya username unayotumia unamaanisha nini kiongozi...?
Thanks a lot.
Nimeangalia hapa.. Nyimbo za Nyasi nina Nieleze na UsiniacheNautauta wimbo flani kaimba msanii anaitwa NYASI wimbo unaitwa KUMBUKA MAWAZO msaada wenu wakuu
Naombeni nyimbo hizi;
1-Nakuhitaji by miss Sara ft caz t
2-ester-nimesahau washkaji walioimba ila choras inasema;'nimechoshwa na maringo(ester),nimechoshwa na vituko(ester),nimechoshwa na hzo poz na kujickia kwako,nimechoshwa HV kwa nn hutaki kunielewa mwenzako
3-Mademu wa Leo wanachanganya,mimi na rafiki mpaka tumegombana-kitambo xna hi cjui jamaa gani hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nieleze ndo UPI huo mkuu?Nimeangalia hapa.. Nyimbo za Nyasi nina Nieleze na Usiniache
Tot band simba anaunguruma nchini tanzaniaIyo inaitwa ya mike najide inaitwa Nyaluland