Zote hizo tumeweka hapa

Nimefungua kurasa zote mkuu, sijazipata bado hizi nyimbo, Fid Q nimekuta Agost 13, Mziki na mimi na mmoja nimeusahau, nyingine sijaona, Ray C pia nimekuta nne lakini karibia zote ni album ya pili, nataka kuanzia album ya kwanza. Jaydee pia sijaona Naomba mwenye nazo anisaidie hasa hasa
Fid Q- Ripoti za mtaani, juhudi za wasojiweza, Malkia, Mama, Kadi na ua rose, Mwanza mwanza, Sihitaji marafiki n.k

Ray C- Vyovyote, Mapenzi yangu, na nyingine zote

Jide- Wanaume kama mabinti, Binti, Mawazo, n.k

Natamguliza shukrani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
 

Attachments


Asante sana mkuu, hapa roho yangu imetulia.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
wimbo wa bendera, ule unaanza benderaaa ya tanzania,ndio ya kujivunia, imeanza kupepea, mwaka sitini na moja....



Wa pili ni wimbo wa Tazama ramani
BENDERA YA TANZANIA

Bendera ya Tanzania,ndiyo ya kujivunia
Ilianza kupepea, mwaka sitini na moja
Hapo inashuhudiwa, tunavyojitegemea
MUUMBA wetu Rabuka ijaze yako fanaka

Rangi yachanikiwiti,Yaonesha mbuga zetu
Manjano ndiyo madini,Yaliyo uchumi wetu
Bluu huonesha maji yaliyo nchini mwetu
Nyeusi Ni yetu sisi,Waafrika asilia
MUUMBA wetu Rabuka ijaze yako fanaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…