Bajuda
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 226
- 254
Konki babaBado sijaanza rasmi kuingia kwenye media.sana sana napiga kwenye vi part vidogo vidogo
Smart guy
Kaza mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Konki babaBado sijaanza rasmi kuingia kwenye media.sana sana napiga kwenye vi part vidogo vidogo
Smart guy
Mkuu kama una wimbo wa Brenda fassie Nakupenda naomba unisaidieUnamaanisha huu mkuu. Au...?
Yaki-TonightKuna jamaa mmoja alikua anaitwa yak msanii wa Irina, ngoma yake moja kwenye chorus ilikua inasema tuma bas msg ya Maneno 10 unijulishe kama bado uko Nam. Nshushie ngoma zake hy janja
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntashukuru sanaa, nimetafuta sana hizi nyimbo
poa mkuu
Mkuu tayari nimeshakuwekea uchekiNipeni hii nyimbo Nicole Scherzinger ft 50 Cent Right There Extended(Intro)
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar wakuu
Naomba hii ngoma nimeitafuta bila mafanikio.
Mexikana Lakavela_Kamba 2 kamba.
Shukrani.
Idimi
Kioo
Gwankaja
Machungwa.
Michano-bandago na rockers anthem wa rockers...nisaidie izo tracks
Sent using Jamii Forums mobile app
Naanza na hizi hapa chini. Twende kaziTafadhali mkuu
Mi naomba top ten(playlist) Kali ya kwaito konki unazozikubali
Naziomba hapa mkuu.
Natanguliza shukran.
#Idimi
machungwa hu0 wimbo wa pwilipwiti nimeshaupandisha hapo juu. Download hio kwaito iliyoandikwa "Oskido& Candy....Mandebele". Kama sio hiyo basi nijulishe. Enjoy
Mbona nimeiweka hapo juu mapema sana man? downloadVp mkuu hu
Vp mkuu hiyo kwaito ya hai hai hai umeipata???