Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Salam na pongezi nyingi sana wadau mnaofanya kazi kubwa ya kushea nasi nyimbo pendwa. Ombi langu kwa ma-dj waliomo humu pamoja na wadau wengine wooote kwa alie na Dj mix ya ngoma kali mchanganyiko za

1. Slow Gospel za kibongo [hapa zile za kuabudu zinahusika zaidi]

2. Za kubanjuka club

3. RnB

Itapendeza kama zitakuwepo zenye muda takribani saa zima na zaidi.

Wenye nazo tusaidiane hapahapa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salam na pongezi nyingi sana wadau mnaofanya kazi kubwa ya kushea nasi nyimbo pendwa. Ombi langu kwa ma-dj waliomo humu pamoja na wadau wengine wooote kwa alie na Dj mix ya ngoma kali mchanganyiko za

1. Slow Gospel za kibongo [hapa zile za kuabudu zinahusika zaidi]

2. Za kubanjuka club

3. RnB

Itapendeza kama zitakuwepo zenye muda takribani saa zima na zaidi.

Wenye nazo tusaidiane hapahapa


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama namuona vile
Machungwa
 
Naomba Wimbo Edina, wa Kurugenzi jazz
Tedy Umefilisiwa, band siikumbuki
Mpenzi Nono, pia band siikumbuki
Isihaka wa OSS
Lady Champion, sina hakika na band Kama sio vijana uliimbwa na Washirika Tanzania Stars.

Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee mi kwenye maktaba yangu nimekutana na huu tu kiongozi. Sasa sjui ndio wenyewe au laa...?
 

Attachments

#TBT

Wakuu naomba hii ngoma

T.I.D_Mtanzania mie usinichukie

Baadhi ya mashahir yake ndo hayo wakuu

Shukrani.



Kioo
Idimi
Gwankaja
Kidikudi
Machungwa


Booooooooooooom
 
Aisee mi kwenye maktaba yangu nimekutana na huu tu kiongozi. Sasa sjui ndio wenyewe au laa...?
Mkuu Kioo hebu cheki na Kufuli ya Mapenzi yao Kurugenzi Jazz,na kuna mwingine wa Kurugenzi pia una maneno... "Nimepata Habari Kama huna Kazi,Kazi umeacha unazurura tu"
Shukrani sana in advanced!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom