Za kizazi kipya nyingi mnazo kwenye mitandao. Hizi za zamani nyingi hazipo mitandaoni, hivyo tunafanya kukumbuka enzi. Hata hivy hujazuiwa kuomba, utapewa tu.Apa wengi munaomba manyimbo ya zamani tu..
Sisi wa kizazi kipya hatujui izo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukuran sna mkuu bado ngoma ya Dk Remmy hapo kifo...Huu hapa. Enjoy
Kweli kbsZa kizazi kipya nyingi mnazo kwenye mitandao. Hizi za zamani nyingi hazipo mitandaoni, hivyo tunafanya kukumbuka enzi. Hata hivy hujazuiwa kuomba, utapewa tu.
Naamini wimbo unaoutafuta ni wa ButtaPhyl "Love or Leave Me Alone"Natafuta wimbo bahati mbaya msanii na jina la wimbo nimesahau,chorous inaimbwa:
[emoji445]you better love me or leave alone(leave me alone),you better love me or leave me alone(leave me alone)[emoji445]
Umeimbwa na mwanadada flabi miaka ya 2003/2004.
Mkuu Shukran sana sana[emoji120] kama hautojali niongezee na hizi za kina AJE, natanguliza shukran tena[emoji120]Kwa kuwa umeteka za kitambo, anza na hizi. Enjoy
Anzia hapa! Enjoy.Hivi kuna mwenye instruments za Kenny G humu?
Smart guy
Haya. Huu hapa. EnjoyMkuu Shukran sana sana[emoji120] kama hautojali niongezee na hizi za kina AJE, natanguliza shukran tena[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja sana kamandaUmetisha sana
Smart guy
Mambo.Naona wimbo wa Enrique iglesias unaitwa Baby I wanna know ....pleasee
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejitahidi sana kuangalia katika library yangu, sijaona majina ya hizo nyimbo. Nadhani sina. Nilizopata ni hizi hapa chiniNatafuta hizi nyimbo kutoka kwenye album moja ya Aurlus Mabele ( hii album ninayo kwenye mfumo wa cassette) inaitwa "Elephants Ambiance" na hizi ndio nyimbo zilizopo
Tracklist:
1. Elephants Ambiance .
2. Tienbé Moin Fó
3. Elephants A Gagné
4. Motema Na Ngai
Haya naomba msaada hapo.
Be serious bhana! Utaombaje nyimbo zote?Naomba ngoma zote za HEMEDY PHD yule jamaa wa bongo movie.
Habar wakuu hamjambo?
Natanguliza shukran.
Gwankaja
Kioo
Idimi
Dj B
Times9