Mwenye wimbo wa
1. Mac D "cheza na mi" feat. Saidi Comorien, naomba aupandishe.
2. Waswahili wale walioimba Pengo wana wimbo wao kuna mstari " ndugu zako wamekutembelea badala ya kuwapokea unawauliza mmefata nini"
 
Mwenye wimbo wa:
1. Zig Zag Crew feat. AY

2. Big Dogg Pose - Ma-Jobless ( tunawaza sana mpaka mabichwa yanaongezeka upana)

3. Mr. II (Sugu) feat. King Kiki - Hapo Zamani.
 
Naomba pia nyimbo za InAfrika Band mfano Yala Yala na nyinginezo kama Boko ( sijui ni Kilimanjaro band "njenje"?) .

Natanguliza shukrani zangu kwa wadau wote mnaotusaidia. Maana kuna ngoma sikuwahi kujua kama nitazipata kama Sonel "posta" lakini kwa juhudi zenu nimezipata. Ahsanteni sana.
 
Mwenye wimbo wa
1. Mac D "cheza na mi" feat. Saidi Comorien, naomba aupandishe.
2. Waswahili wale walioimba Pengo wana wimbo wao kuna mstari " ndugu zako wamekutembelea badala ya kuwapokea unawauliza mmefata nini"
Hiyo ya Waswahili inaitwa Yupi Bora..
 
Naomba wimbo wa o ten "mkuu wa mkoa"
Pia afande sele "kwavyovyote"
Afande sele huyo huyo tena umenitosa tnx.
Prof jey msinitenge.
Pig black nini mnataka.
Na ili nisiwachoshe waungwa nyimbo ya kali p jina imenitoka ila anazungumzia hizi nywele mwisho wa nyimbo anasema pipi ya dara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…