Nimepata waswahili nyingine hapa Wapi nitapata nyimbo za Waswahili by Nature? - JamiiForumsMwenye wimbo wa
1. Mac D "cheza na mi" feat. Saidi Comorien, naomba aupandishe.
2. Waswahili wale walioimba Pengo wana wimbo wao kuna mstari " ndugu zako wamekutembelea badala ya kuwapokea unawauliza mmefata nini"
Hiyo ya Waswahili inaitwa Yupi Bora..Mwenye wimbo wa
1. Mac D "cheza na mi" feat. Saidi Comorien, naomba aupandishe.
2. Waswahili wale walioimba Pengo wana wimbo wao kuna mstari " ndugu zako wamekutembelea badala ya kuwapokea unawauliza mmefata nini"
1-Tina by fresh p ft nature
2-Beibe beibeee Nakupenda by John woka
3-Mganga wa mtoni by Bonta
Sent using Jamii Forums mobile app