Wimbo ule wa kwenye beat la ala za roho cha diva pale clouds fm....
 
Natafuta nyimbo za kwaya walimba " na lingine lilianguka kwenye udongo mzuri, likazaa moja thelathini"
 
Mie natafuta wimbo wa urafiki jazz unaoelezea dada aliyemkataa mshona viatu akaenda olewa na baba mwenye gari kubwa sana mtumba, unaitwa kitu kama mwanaisha, alionao anipm
 
Mimi Natafuta Wimbo Natanga na njia umeimbwa na Ally Star akiwa TOT
 
Uzi huu mzuri sana ni kama vile tunarudi ujanani. Naomba nyimbo za Vijana Jazz katika ule mtindo wa TAKATUKAkwa kadri utavyozipata.
 
Wimbo ule wa kwenye beat la ala za roho cha diva pale clouds fm....
Sijasikiliza mda mrefu ila zamani alikuwa anatumia beat ya Mwanamziki anaitwa Butterfly-Angel sijui kama bado anatumia hiyo.....Butterfly alishawahi kutamba na wimbo love me or leave me alone.
 
kuna wimbo siujui jina wa zamani kidogo tulikuua melody yake ni ka inasema "wazungu waenda koni wazungu waenda konii eka moyekee eka moyekee anaeujua jina itapendeza zaid
 
Me natafuta album za UCHE yule mwimba gospel msouth Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…