Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Hiyo we nenda tu inaimbwaje chorus?
We nenda tu we nenda tu,sikuhitaji tena,we nenda we nenda tu. Moyoni umenichoma,ondoka wewee nenda usije nletea ngomaa aaah wee nenda tuuu!!

Kiufupi Fred P ndo aliyefanya chorus ya Ngoma Ya Majita-Tunadatisha... na hata chorus hiyo ina tune flani inayofanana na hii nyimbo nayoiulizia! Ni ngoma iliyotoka kati ya 2004/05

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We nenda tu we nenda tu,sikuhitaji tena,we nenda we nenda tu. Moyoni umenichoma,ondoka wewee nenda usije nletea ngomaa aaah wee nenda tuuu!!

Kiufupi Fred P ndo aliyefanya chorus ya Ngoma Ya Majita-Tunadatisha... na hata chorus hiyo ina tune flani inayofanana na hii nyimbo nayoiulizia! Ni ngoma iliyotoka kati ya 2004/05

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ngoma kama ni yenyewe nimewahi kuwa nayo nikaipoteza.. Mwenyewe naitafita sana...

Inaimbwa "we nenda tu.. We nenda tu... Moyoni umenichoma.. Ondoka ww nenda usije niletea ngoma oooh.."
 
Ndiyo mkuu nimeitafuta sana pia.... ngoja tuwasikilizie kina KIOO na IDIMI labda watafukua katika maktaba zao!!
Hiyo ngoma kama ni yenyewe nimewahi kuwa nayo nikaipoteza.. Mwenyewe naitafita sana...

Inaimbwa "we nenda tu.. We nenda tu... Moyoni umenichoma.. Ondoka ww nenda usije niletea ngoma oooh.."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
naomba mwenye nyimbo hi
1.afande sele f.t nash g na dito na bizman umeondoka rmx hii nyimbo ipo kwenye album ya darubin kali kama sijakosea
2.malik nyimbo inaitwa my fellow ni raggetone flan ya mshikaj mmoja wa mwanza baadhi ya mistar inaimba sina niambaya nikubalie wewe mzur sana niangalie
2.abuu v.i.p nyimbo flan ya kitambo ya dogo mmoja hv alikuw anachana kama mr bluu baadhii ya mistar inaimba mimi tu ndo nataka kuwa na ww japo baby ww hutaki kuwa nami ni soo ooh mamy girl njoo v.i.p uone navyo flow
3.kimweli jina la nyimbo nimelisahau ila jamaa anaimba kama analia anazungumzia kuwa kuna mtu anamdai milion tatu anakubali den na kuhaid atakuw ana mlipa mia tatu
4.Stive rnb nieleze wimbo huu una maadhi ya ragge nadhan ndo nyimbo yake ya kwanza
kioo na washikaj wengine msaada
 
Mwenye wimbo unaimbwa hivi huyu demu hebu cheki akipita anatingisha fingisha sijui kaimba nani na mwingine unaitwa chuma ulete kashirikisha h baba kaimba kama sikosei super dancer mwenye nao tafadhali
 
Nimeutafuta sana wimbo fulani hivi unaitwa chuma ulete kuacja huu wa rayvanny wenyewe mshikaji kamshirikisha h baba mwenye nao tafadhali atume na Mwingine unaimbwa hivi kula lazima kioga hiyari jumla nyimbo mbili moja chuma ulete na huo kula lazima zote h baba Ameshirikishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeutafuta sana wimbo fulani hivi unaitwa chuma ulete kuacja huu wa rayvanny wenyewe mshikaji kamshirikisha h baba mwenye nao tafadhali atume na Mwingine unaimbwa hivi kula lazima kioga hiyari jumla nyimbo mbili moja chuma ulete na huo kula lazima zote h baba Ameshirikishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

kuna wimbo nautafuta alishirikishwa marehemu ngwair unaimba nenda nenda kwenu nenda na kama virago vyako beba sikuhitaji tena mama.
msaada wadau
 
Back
Top Bottom