vuvunduli
Senior Member
- Jan 15, 2012
- 164
- 125
We nenda tu we nenda tu,sikuhitaji tena,we nenda we nenda tu. Moyoni umenichoma,ondoka wewee nenda usije nletea ngomaa aaah wee nenda tuuu!!Hiyo we nenda tu inaimbwaje chorus?
Kiufupi Fred P ndo aliyefanya chorus ya Ngoma Ya Majita-Tunadatisha... na hata chorus hiyo ina tune flani inayofanana na hii nyimbo nayoiulizia! Ni ngoma iliyotoka kati ya 2004/05
Sent using Jamii Forums mobile app