Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wimbo ulikuwa unaonyesha kipindi hichoo TV ya c2c wasanii wenyewe wafupiii ulikuwa unaimbwa hivi "huu ufupi kweli wee huu ufupi unanipa tabu" kuna sehemu anasema alipada demu mrefu wakamchukulia kwa sababu ya ufupi nahisi msanii anaitwa amiri wimbo unaitwa huu ufupi nisaidieni tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
NIMESHAWAAMBIA WAKURUDISHEIle old xkul iko.page ya ngapi mana kwangu nimeifuta baati mbaya msaada please
Aisee huu wimbo nautafuta sanaaaa, napenda sana pale mwisho sele anaongea kama analia, ukipatikana nitag mkuu, mi nilikuwa nao ule OG wapo na dem gan sijui yule1.afande sele f.t nash g na dito na bizman umeondoka rmx hii nyimbo ipo kwenye album ya darubin kali kama sijakosea
Wadau wa oldsongs natafta sana hizi nyimbo
0.Bob Marley ft lauryn hill-Goodlove
1.TMK majita-Tunadatisha
2.Dudu baya-Kaza Buti
3.Bamboo-(wanaimba,nilimkoseaa sasa amepotea hee yaheyahee nisamehee)
4.Nyimbo ya clouds-shangwe za kila mwaka
5.Necessary noise-Kenyan boy
6.Na intro ya Professor jay-Jina langu(huwa kanaimba katoto alaf kanakohoa)
Natanguliza shukrani[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Sent using Jamii Forums mobile app
lady e huo ninao ila upo kwenye pc ntaupandisha kesho ila nataka rmx yakeAisee huu wimbo nautafuta sanaaaa, napenda sana pale mwisho sele anaongea kama analia, ukipatikana nitag mkuu, mi nilikuwa nao ule OG wapo na dem gan sijui yule
[emoji38][emoji38]hivi wajua km sikuona hili jambo,? Hembu nidokeze kiduchu kitafutwacho,[emoji52]Hahaha salama kabsa,,unachokitafuta ukipata
Hiyo we nenda tu inaimbwaje chorus?Mkuu Gwankaja.. nimeona ngoma ya TMK Majita nikakumbuka nyimbo kadhaa nazitafuta.
1. We nenda tu-Fred P
2. Jimmy Jamal- Mama Usiniue
Sent using Jamii Forums mobile app