jamani ina maana wimbo wa mzee zorro beatrice ndio haupatikani [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Kuna sebene Fulani hiv, la kiluguru nalitafuta tatizo hata Yale maneno siyajui". TUWABEEEEEEEBEE,TUWABEEEEE "yani tatizo wanaimba kwa kilugha
 
Mimi kuna wimbo flan nautafuta ni old school sijui unaitwaje wala simjui aliyeimba ..... neno ambalo huwa nasikia kwenye chorus ni ALWAYS tu... msaada wenu plz
 
natafuta wimbo wa "ombi langu" (au mshenga kama sikosei) wa Ismail Kipira ...naukumbuka kidogo uliimbwa hivi...hivi ni lini ombi langu litajibiwa..naomba kwa mola usije niacha
 
WIMBO WA ALINIRUBUNI NA KUNITOSA KWENYE DIMBWI LA MAPENZI-AFRIKAN STARS(Mwijuma muumini)
 
unazungumziaje wadau wanaopenda jamiiforums ifungiwe
 
Mkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..

Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..

Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.

"Bora ukose Mali upate akili".
Banza Stone alishafariki jamani?
 
Natafuta nyimbo ilikua inapigwa na zamaaani radio tanzania n ya watoto inaimbwa hiviii
" watoto wasafi moyoni n nyota za wazazi sisi ni maua tuliopandwa na Mungu mwenyeziiiii lalalalalala lalalalaaaaaaa lalalaaaaa""
 
Ule wa jamaa aliyeuza mbuzi mabata kuku kumsomesha demu nje ys nchi demu karudi na mimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…