ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 641
Wimbo wa taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwaje mkuu?Ninao kwenye laptop kuuweka ndio tatizo.
Juwwata kipindi hicho.
unazungumziaje wadau wanaopenda jamiiforums ifungiweBaba Heri, YOU ARE THE BEST!
NIMEUPATA, NIMEWAHI FUNGUA UZI HAPA KUTAFUTA HUU WIMBO HAKUNA ALIYENIJIBU! INGAWA WA AWALI ULIONIAMBIA HAUKUWA WENYEWE ILA BAADA YA KUUSIKILIZA HUO NIKAJUA HUU WIMBO NAOUTAFUTA LAZIMA KAIMBA HUYU ENYA, umenipa mwanga wapi pa kuanzia kuutafuta. NIMEKOMAA NAE YOUTUBE MPAKA FINALLY NIMEUPATA.
UBARIKIWE SANA, WIMBO HUU UNANIKUMBUSHA MBALI SANA MPAKA NATOA MACHOZI.
NASHUKURU SANA MKUU, JF OYEEEEE!
WIMBO UNAITWA ORINOCO FLOW (SAIL AWAY).
Natafuta nyimbo hizi 'Roho ya Korosho' na 'Ningekuwa na Mabawa'. Zote za Marehemu Justin Kalikawe.
Natafuta nyimbo hizi 'Roho ya Korosho' na 'Ningekuwa na Mabawa'. Zote za Marehemu Justin Kalikawe.
Sheila by Esther Wasira.
Mwenye uwezo wa kunitumia huu wimbo,nauomba tafadhali.
Kwa hiyo wewe kazi yako nikuelekeza, "upo youtube" basi umemaliza!!!!upo youtube
Banza Stone alishafariki jamani?Mkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..
Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..
Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.
"Bora ukose Mali upate akili".
nanafuta saana wimbo wa Innocent Galinoma unaitwa Mount Kilimanjaro
Wimbo unaitwa StellaUle wa jamaa aliyeuza mbuzi mabata kuku kumsomesha demu nje ys nchi demu karudi na mimba