1.Said Comorein-Miss Malaika

2.Kuna wimbo kiitikio kaimba Q-Chief una maneno haya "Cha kushangaza sina kazi na me nataka mahitaji na me sina kazi"

CC KIOO ,Idimi
 
Kuna gospel singer ameambia nizuri na yesue ana mix kilugha, kiingereza na kiswahili nadhani ni mzambia au zimbabwean....naomba jina lake au link za hizo nyimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi' kuna wimbo wa Mangelepa, unaitwa LISAPO. Nimejitahidi kuutafuta, sikuupata. Sina shaka tafuta yangu, imefika mwisho.
 
Nitumieni hata video ya jinsi ya kuapload audio mana simu kama inakataa nyimbo nyingi ninazo ila nashindwa kutuma humu
 
Bro upo kwenye game ya hiphop kumbe??ukitoa hyo ngoma ya unataman kuna ngoma gan zngine tena,nmesikiliza uko vzr sana bro

Much respect bro
Mtt wa shangazi umemisika ati[emoji6]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah nmemsikia,brother yupo vizuri sana,sikuwahi kufikilia kama atakuwa ana nata na beat kiasi hicho
Nimeweka replay kwa makini kbs ili nimwelewe zaidi.
Ss afanye mpango atupe na zingine tuendelee nazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha wewe tena,,hope atafanya hivyo ngoja tusubiri

Thanks a lot wakuu wangu. I appreciate.

Well kuna project nipo nayo ila haijaenda kwa hewa bado, lakini pia sitaiweka hapa ila ntawatupia kwa niaba yenu wakuu.

Sikutaka nifanye hivyo ila kwa heshima na taadhima zenu imenilazimu nifanye hivyo wakuu wangu.

Heshima sana kwenu wakuu. Thanks.
 
Thanks a lot brother,,itapendeza sana kushare nasi hizo ngoma hapa[emoji120][emoji120]
 
Unaona mambo hayo ss,,
Project ni zetu wapenzi wasikilizaji,barikiwa sana na kwa ngoma ile ya mwanzo nadhani kuna utamu zaidi ktk zijazo[emoji123][emoji123]twasubiri kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi wakuu.
Tafadhali naomba hit songs za msanii
"Monique Seka" yule malkia wa zouk
Shukrani.

#kioo
#gwankaja
#idimi

Asubuhi njema.

Kwenye makabrasha yangu nimekuta hizi 2 tu mkuu. ENJOY.
 

Attachments

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…