Kuna wimbo unaimba hivi
Hellena hellena oooooooh hellenaaaaa
Uko wapi supu wanguuuu sijajua ni wanani kama mnao wadau mnisaidie kuupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wimbo unaimba hivi
Hellena hellena oooooooh hellenaaaaa
Uko wapi supu wanguuuu sijajua ni wanani kama mnao wadau mnisaidie kuupata
Mwenye wimbo wa R-Tony_Lissa nauomba jmn.
nisaidie kunitumia hapaNishau
Nishaupata
Mwenye nyimbo zifuatazo aniwezeshe
Naomba shilingi mia ya bizman
Usiku usiingie Mr zumo na raha ya upendo wa bizman
Wakuu naombeni wimbo wa watoto huwa unaimbwa kwenye redio flani hv katka kipindi cha watoto
Unaimbwa hv...
Watoto wasafi moyoni, ni nyota ya macho ya wazaz
Sisi ni maua tuliopendwa, na mungu mwenyezii.....Mwenye nao naomba anisaidie wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
TOTO PARTY
Mbona hujanitumia ule wimbo niliokwambia juu hapo?Twanga pepeta mtu pesa jamani mnisaidie
Mwenye nyimbo ya "Sabela" umeimbwa kwenye muvi ya Sarafina atupiemo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Twanga pepeta mtu pesa jamani mnisaidie
Huu wimbo ninautafuta mpaka akili inaniruka yaani dah!!!Mtoto mtukutu ya tot mkuu
Aisee kuna ngoma moja ilikuwa inapigwa sana Clouds kipindi cha reggae usiku na walikuwa wanatumia beat lake ni ngoma ya kibongo ila sijui jina la muimbaji.
Mistari inasema "Usinitupe mi, najua kosa nlilokufanyia mi, ujue nakupendaaaaaa, ndo mana sometime nina jealousy... "
Hebu tupieni hilo goma wakuu. Ni hatari faya aisee.
Mwenye nyimbo ya "Sabela" umeimbwa kwenye muvi ya Sarafina atupiemo hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ku upload wimbo mpaka uwe na PC mkali mie nilitumiwa kwa wasapMbona hujanitumia ule wimbo niliokwambia juu hapo?