Mkuu nimetafuta kwa muda mrefu bila mafanikio, nitashukuru sana ukinitumia utakapopata.
Asante sana kwa 702_You_Just_Never_Know huu nimeusikia kitambo sana ila sasa nimeuweka kwenye playlist yangu
 
Mkuu nimetafuta kwa muda mrefu bila mafanikio, nitashukuru sana ukinitumia utakapopata.
Asante sana kwa 702_You_Just_Never_Know huu nimeusikia kitambo sana ila sasa nimeuweka kwenye playlist yangu

Usjali kiongozi tuko pamoja mkuu. Sijakuelewa wimbo gani unatafuta kwa muda mref umesema...?
 
Wakuu naomba mwenye nyimbo izi anisaidie

Bwana misosi_nitoke vipi

Bwana misosi_mabinti wa kitanga

Joni woka na Ras lion_tawile

Hard mad_tamala

Wagosi wa kaya_Tanga kunani rmx

Pia kuna nyimbo moja inaitwa request line mshikaji moja ivi wa Chugga jina lake nimelisahau ya kitambo kidogo

Natanguliza shukrani zenu wana jamvi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani jamani mimi ninatafuta wimbo wa mack dizo ft juma nature wimbo unaitwa tabibu rmx nimeingia Google nimesarch unaipata moja kwa moja zartom nimeshindwa kuipakua tafadhali msaada wanaoweza kuupata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 

Attachments

Wakuu leo nakuja kivingine kidogo kwa kuimalizia Ijumaa naomba huu sjui niite wimbo au kaswida ila ni wa jamaa mmoja hivi anaitwa Yusuf Abdi unaitwa Tabia ni dini yako wakuu. Natanguliza shukran zangu kwenu aisee.
 
Wakuu leo nakuja kivingine kidogo kwa kuimalizia Ijumaa naomba huu sjui niite wimbo au kaswida ila ni wa jamaa mmoja hivi anaitwa Yusuf Abdi unaitwa Tabia ni dini yako wakuu. Natanguliza shukran zangu kwenu aisee.

Hahahah, huu sio wimbo wala qaswida aisee inaitwa NASHEED mkuu.

Huyu jamaa namkubali sana kwa kazi zake na hii pia ni moja kati ya kazi zake nnazozikubali sana aisee. Ina ujumbe mzuri sana mkuu.

 

Attachments

Hahahah, huu sio wimbo wala qaswida aisee inaitwa NASHEED mkuu.

Huyu jamaa namkubali sana kwa kazi zake na hii pia ni moja kati ya kazi zake nnazozikubali sana aisee. Ina ujumbe mzuri sana mkuu.


Aisee mkuu heshima sana kiongozi. Hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…