yeyote uliyonayo mkuu
yeyote uliyonayo mkuu
NA BADO. wa prof jay. kweye album ya Machozi jasho na damu.
Bwana shamba john by Adam mchomvu
wa A.Y Na nai sijui yule Chorus yake ni u SHOULD THINK ABOUT TOMORROW NOT ONLY TODAY sijui na nini nini
Natafuya wimbo wa
Yvone chakachaka-bombani.
Nyanyao-
AWakawakawa(uliimbwa na cjui wazimbabwe)
Ntarudi.
Emmanule nkulila pain in me
Sheila by Esther Wasira.
Mwenye uwezo wa kunitumia huu wimbo,nauomba tafadhali.
Natafuta wimbo "Ngangari" - Gangwe Mobb
Enjoy mkuu
Enjoy mkuu
Daah mkuu KIOO mungu aibariki kazi ya mikono yako [emoji120]Yeah. I love music...!
Jamaa anaitwa Aziz Azion, ngoma inaitwa Omukwano.Kuna wimbo fulani wa uganda, sijui ni nani kaimba sauti kama nameless na mdada fulan hiv, anaimba i Love Omukwanoa, i nees omukwano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umetisha sana. Ikikupendeza nitumie namba yako PM nikushukuru.Enjoy mkuu
Enjoy mkuu