Cheki hapo juu, nimeuweka
Unaitwa nasonga mbeleKuna wimbo umeimbwa na kikundi toka zbar unaimba hivi..
"Hivi sasa nasonga mbeleee... maisha yangu bila ya weweeee,...nawaachia yo wenzangu, umaskini mm ndani kwangu.,.
Nitafurahi sana nikiupata
Cheki hapo juu, nimeuweka
Cheki hapo juu, nimeuweka
Cheki hapo juu, nimeuweka
Cheki hapo juu, nimeuweka
Thanks ndugu..... Umeifanya siku yangu iende vizuriKama hujazipata natumaini ndio hizi
But ya Afande sele siyo hiyo, ipo maudhui yake yanazungumzia kifo...Kama hujazipata natumaini ndio hizi
But ya Afande sele siyo hiyo, ipo maudhui yake yanazungumzia kifo...
Kuna sehemu anasema "kifo kinaweza kukuta hata upo ndani umekaa"
Apia ?Wimbo wa soggy doggy unaitwa I love you too atakaye upata natuma vocha
Mkuu juu wapi maana nimepita huko sijaona.Nitag kwenye hiyo comment uliyouwekaCheki hapo juu, nimeuweka