Mkuu kioo naomba nisaidie wimbo wa solothang miss tanzania.. natanguliza shukrani.Bado naifanyia kazi kwenye maktaba zangu kiongozi wangu.
When am done, will let u know bro. Thanks.
Welcome.
Mkuu kioo naomba nisaidie wimbo wa solothang miss tanzania.. natanguliza shukrani.
Bonta- mganga wa mtoni
Naona umeshaiomba sana hii ngoma na bado hujakata tamaa mkuu.
Asee acha tu mkuu
Inaonekana ni ngoma adimu sana kuipata
Unakuta kuna ngoma nyingine hazijaandikwa majina halisi ya ngoma zenyewe, unakuta imeandikwa namba tu na alphabets, sasa inakuwa ngumu kupitia moja baada ya nyingine kuanza kuakiliza ipi ni ipi coz ngoma zipo nyingi sana ndo tatizo.
Ila itakuja tu wala usjali kiongozi wangu.
Naomba nisaidie wimbo “Nilikaona mwaka jana Soggy dog”
Usjali mkuu hata mwaka huu utakaona pia.
Haka hapa enjoy...!
Jaribu HiiOkay, let me give u wat u want bro.
Kaka Mkuu KIOO ahsante sana, leo toka asubuhi nimepitia page zote 403 nimevuna OLD which is GOLD. Muziki unaoishi. Ahsante Secret Star kwa uzi huu.
OMBI.
1. Ngoma ya Ney wa Mitego alfanya Bongo Record mapema sana inatembea hivi, ".... Kuishi Manzese imekuwa shida, mambo yanavyokwenda baby sijui kama utaweza...."
2. Crazy GK Feat Fid Q sikumbuki jina ila "..... wamevunja makanisa ili wajenge casino...."
Shukurani kwa madini wana JF
Mambo vp? Naomba nyimbo hzi tafadhar
Mia saba sabini 770
Tozy wa mbagala, nimezikumbuka sana