Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba niwe mpangaji wa kudumu ndani ya moyo wakoooNYIMBO ZINGINE MLIZOOMBA
Papi_Kocha_ft_Lady_Jd_-_Moyo.mp3
Enya_-_Only_Time_-_Sweet_November.mp3
Patricial_Hilary_-_Zao.mp3
Nayba_-_Uje_.mp3
Mambo_Vipi%28Uncut%29_-_Mchizi_Mox.mp3
Kikosi_Cha_Mizinga_ft_Bele_9_-_Maisha_Yangu_Ujumbe_Tosha.mp3
Juma_Nature_ft_Mr_Paul_-_Kigeto_Geto.mp3
Hussen_Machozi_-_Jelaa.mp3
Bandago_-_Ayaah.mp3
Amenitendea_-_Kijitonyama.mp3
MWISHO
Thanks bob bado simulizi la ufasaha
Naitafuta album nzima ya machozi jasho na damu. ..Natafuta wimbo Machozi Jasho na Damu wa Prof Jay, Sekuntonza wa Juwatta/Ottu Jazz Band na Ujana Maji ya Moto wa Vijana Jazz Band.
ahsante nashukuru nimeipakua tayari.
duh huo wimbo kitambo sana ila sijui kaimba nnanautafuta sana"Nikikuuliza jambo huja juu, huja juu kipenzi changu,.
Nakujitia kununa nuna bila sababu tutaja achana bure,
Natafuta wimbo winye mistari hiyo
Aise huu wimbo nnaoMkuu,,
Kama umechota uhitaji wangu..
Huu wimbo nautafuta sana lakini siupati..
Elimu ya mjinga ni majungu-R.I.P banza stone..TOT PLUS.
"Bora ukose Mali upate akili".
Mimi ninao shida kuuweka hapaZote zipo isipokuwa huo wa v2 man nimeutafta sana bila mafanikio dah, nikisikia huo wimbo wa songa mbele nalia kabisa unapeleka hisia zangu zambi kidogo na kumbukumbu flan hv
Mm ninao huu unaitwa mnyonge mnyongenShukran sana mkuu, naomba kama upo wa pauline Zongo safari au TOT plus wakiwa na Pauline Zongo ule unaimbwa kaona mambo huyawezi ndipo kaja kwangu
Thuubutu huu wimbo haupo popote labda baadhi ya radio station tuInaelekea wewe ni mtaalam sana wa kugoogle na kupata kila kitu eeeh... tafadhali Nigooglelie" wimbo wa kaptain komba mgeni
Wimbo unaitwa Kyala ChenjaMkuu naomba wimbo wa msondo ngoma
Unaimbwa hivi.
"Nitafanya nini biashara mamaa
Matatizo yako nitayazoea
Kama kuna kosa naomba radhi eeh a mamaaa
Kama kosa naomba radhi eeh a mamaa
Nisamehe mama watoto a amamaaa"
Nitafanya nini Mimi ooh Kyala MaamaMkuu naomba wimbo wa msondo ngoma
Unaimbwa hivi.
"Nitafanya nini biashara mamaa
Matatizo yako nitayazoea
Kama kuna kosa naomba radhi eeh a mamaaa
Kama kosa naomba radhi eeh a mamaa
Nisamehe mama watoto a amamaaa"